excellentone
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 721
- 471
Nitakuamije? Imani zipo za aina mbalimbali, mfano wako wabinafsi na wachoyo wanaamini maendeleo binafsi ambayo ni kukwamisha wengine kwa manufaa yao kupitia juhudi zao, lakini pia wapo wazalendo wanaamini kwenye maendeleo ya pamoja kujenga misingi ya usawa katika jamii inayotoa fursa sawa na kuruhusu equal and fair competition kwenye elimu, ajila, biashara na huduma zingine zote za kijamiiBidii yako tu ndiyo itakayo kutoa!
Mambo mengine ni porojo za mtaani!
Trust me
EeehWaunganishe kwangu mabenki ya ughaibuni yanotoa mikopo kwa riba ndogo..ila nikiunganisha 2% commission..🙂🙂
Lazima utakuwa msukuma wewe maana mnajiona kama nchii hii ni Mali yenu peke yenu.Hao watu wakati wenzao wanalalamika kunyimwa fursa,walikuja juu sana kwamba wamesoma,acha wachomolewe,walikua wanapeana tenda kwa kuamgalia majina,sie akina Mwalwisi tulisubiri sana na hatukulia lia
Kweli akina mangi vyuma vimekaza vibaya.Leo ndio nimekubali kuwa kuna waongo waliopitiliza.
Unapoanzisha thread humu jiridhishe pasipo shaka kuwa kuwa unauhakika wa kile uzungumzacho.
Nibahati nzuri pia baadhi ya wanaojibu thread hii ni watu wanao deal na tender procedures.
Nikuhakikishie kuwa awamu hii hao unaowasema ni kina akina Tarimo ni either wamekosa sifa ya kupata zabuni au walizoea kuhonga ili kupata zabuni.
Awamu hii tafadhari elewa kuwa hakuna anaye hatarisha kazi yake kwa ajili ya kumfurahisha mtu fulani hata awe nani.
Professional wa manunuzi naamini wamebadiluka tofauti na huko nyuma ilivyokuwa.
Kwa sasa elewa kuwa anayekosa zabuni ni dhahiri amekosa sifa za zabuni husika.
Hayo mambo ya ukanda katika professional za watu hayapo kabisa mkuu.
Kesho watu wajinga waanza sema ukienda hospital na jina la Nkya huwezi tibiwa kisa ni kabila toka kaskazini.
Shem of you uliyoanzisha hii thread
Wewe ni mpuuzi sana, mbona 2005-2010 hukuwahi kwenda vijiweni kusikiliza waliokuwa wakisononeka wakati wenzao hao wanakula na kusaza? Leo kwa unafiki mkubwa unajifanya eti umepita vijiweni, hata ukipita mighahawani hao watu unaowatetea haijarishi. Maisha huwa ni mzunguko na kila kundi/watu wana ridhiki kutoka kwa aliyewaumba, siku ukicheka jiandae siku utalia. Siku ukipata jua kuna aliyekosa lakini ipo pia siku na wao watapata ili wewe ukose. Kila jambo lina pande mbili.Hao watu wakati wenzao wanalalamika kunyimwa fursa,walikuja juu sana kwamba wamesoma,acha wachomolewe,walikua wanapeana tenda kwa kuamgalia majina,sie akina Mwalwisi tulisubiri sana na hatukulia lia
are you supporting this? remember two wrongs don't make it right.Hao watu wakati wenzao wanalalamika kunyimwa fursa,walikuja juu sana kwamba wamesoma,acha wachomolewe,walikua wanapeana tenda kwa kuamgalia majina,sie akina Mwalwisi tulisubiri sana na hatukulia lia
Mbona hueleweki mkuu..??? MTU MZIMA anakamata simu anaandika upuuzi utadhani anaandikia WATOTO WENZIE...!!!Yaani mtu mzima unakamata sim unaandika Upuuzi kama huu.Unadhani unaandikia watoto wenzio?Kwa hiyo unataka kusema wanasajili kampuni upya?na kubadilisha majina ya watoto wao kisa hayatakiwi hapa nchini au?na siku yakitakiwa majina hayo ya Tarimo watawabadilisha tena?....Hebu tuwe tunatumia hata akili kidogo tu.
Lisemwalo lipo kama halipo lajaUnafiki mtupu, siku ya kufa kwako utabaki mdomo wazi, huko hatujafika hata kidogo na hatutafika, tender hutangzwa na hutolewa kwa yule aliekidhi vigezo na si vinginevyo.
Kama huko nyuma taratibu zilikiukwa na upendeleo ulitawala kwa wasio na vigezo kupewa tender, zama hizo zimepita, hanyimwi mtu tender kwa kabila lake, acha kupanda chuki, hailisaidii taifa, sanasana ni kuliangamiza
Na bado, ni juzi tu walikuwa wanamsema jamaa vibaya kwa mafumbo, sie wengine tukang'amua. Kipindi cha sikukuu wakaja na tambo nyingi eti kwao vyuma havipo, tukajua kifuatacho ni lazima wayakanyage. Sasa ni dhahiri visu vimeshaacha nyama na mifupa inaumia, kisu kikifika mfupa hata awe nani ...leo wanaanza kusema wanaonewa.Kweli akina mangi vyuma vimekaza vibaya.
Walizoea ujanja ujanja wa kuiba fedha ya serikali alafu wanajisifu eti wapambanaji. Kodi walikuwa hawalipi sababu TRA ilikuwa wamejaa wao tu.
Naona pale kariakoo wanaanza kukimbizwa na wakinga ka paka mwizi.
Saluti u baba Magu.
Hahahahaaaa,eee bwana eeeee,ina maana zamani ukiwa Masawe,Tarimo kupata tenda ilikuwa nje nje na masilahi mengine bwerere?Je majina hayo kutamalaki Idara zenye mshiko kama TRA,PSPF,NSSF,TPA,BOT,NIDA,UHAMIAJI,TANROAD, n.k bado yanaendelea.Ukiuliza mbona majina haya ya Mlima Kilimanjaro yametapakaa taasisi hizi,jibu utakalopata eti wamesoma sana.Kwani shule/vyuo za Wandendeure na Masawe huwa zipo tofauti?Masomo tofauti?Walimu tofauti?Vitabu tofauti?Majengo/mazingira tofauti?TUSICHEZE NA KITU KINACHOITWA KILA ZAMA NA WAKATI WAKE.Ujanja ujanja sasa hivi inawezekana umebinywa ndio maana vikelele.Nadhani sifa ndio inayombeba mtu kwenye tenda sio ujanja ujanja,pia tuache kulalamika kuhusu ukabila wakati mchakato wa kushughulikia jambo kihalali unafanyika.Hivi kuhusu sekta nyeti na zenye mshiko kujazana akina Shimbooonii imeanza kulalamikiwa leo au tangu zamani?Ilikuwa halali au kimchongo mchongo wa kujuana.Je,kuzibwa nyufa za short cut si ndio huenda imesababisha watu wa kabila fulani kuona kuwa wanatengwa na kubaguliwa tofauti na mazoea yao ya zamani?[emoji86] [emoji86] [emoji86].Hao unaowasemea ndo waasisi wa hayo unayoyasema,
Kutesa kwa zamu
Wanatia huruma sanaKutesa kwa zamu
Teh teh, kwa hii hari, naomba rais azidishiwe kaulinzi. Chuki hii iko dhahiri sasa, huenda hizo bodi huwa wanakuwa ni wagogo tu ndo wanapitisha na kuwatoa akina mange. Yaani Tz hii bodi iundwe na kabila moja eti walikatae jingine ...haya ni maajabu. Hawa jamaa naona pumzi zimekata na sasa wanahaha, wakubali tu kwamba zama zimebadirika na Tz ni ya wote. Kama kusoma sahivi watu wamesoma, biashara kila kona watu wanafanya biashara n.k no longer "that tribes".Hahahahaaaa,eee bwana eeeee,ina maana zamani ukiwa Masawe,Tarimo kupata tenda ilikuwa nje nje na masilahi mengine bwerere?Je majina hayo kutamalaki Idara zenye mshiko kama TRA,PSPF,NSSF,TPA,BOT,NIDA,UHAMIAJI,TANROAD, n.k bado yanaendelea.Ukiuliza mbona majina haya ya Mlima Kilimanjaro yametapakaa taasisi hizi,jibu utakalopata eti wamesoma sana.Kwani shule/vyuo za Wandendeure na Masawe huwa zipo tofauti?Masomo tofauti?Walimu tofauti?Vitabu tofauti?Majengo/mazingira tofauti?TUSICHEZE NA KITU KINACHOITWA KILA ZAMA NA WAKATI WAKE.Ujanja ujanja sasa hivi inawezekana umebinywa ndio maana vikelele.Nadhani sifa ndio inayombeba mtu kwenye tenda sio ujanja ujanja,pia tuache kulalamika kuhusu ukabila wakati mchakato wa kushughulikia jambo kihalali unafanyika.Hivi kuhusu sekta nyeti na zenye mshiko kujazana akina Shimbooonii imeanza kulalamikiwa leo au tangu zamani?Ilikuwa halali au kimchongo mchongo wa kujuana.Je,kuzibwa nyufa za short cut si ndio huenda imesababisha watu wa kabila fulani kuona kuwa wanatengwa na kubaguliwa tofauti na mazoea yao ya zamani?[emoji86] [emoji86] [emoji86].
Jibu rahisi ni hili:NJIA KUU ZA KUPIGA FEDHA KWA NJIA YA MKATO NA KIUJANJA UJANJA ZIMEZIBWA.NI LAZIMA TUWE NA KELELE ZA KULETA VISINGIZIO TELE.ANADHANI KUBADILI MAJINA KWENYE DOCUMENTS ZOTE ZINAZOTAKIWA NI KAZI RAHISI KAMA KUNYWA ULANZI.NA MLETA UZI HAJUI KUWA KAMPUNI NI LEGAL ENTITY wala sio legal person.Mleta mada mzushi Serikali hufanya biashara na kampuni sio watu binafsi .kwa hiyo wamebadili majina kuanzia kwa msajili wa makampuni kubadili majina ya wamiliki na pia wamebadili majina TRA na pia wamebadili majina ya signatories bank na wamebadili majina vitambulisho vyao vya taifa na passport,na vyeti vyao vyote vya masomo na kuzaliwa wamebadili ? kubadili jina si kitu rahisi hivyo mchochezi bwege wewe lazima litangazwe hadi gazeti LA Serikali.Huu uzushi wa kipuuzi.Mleta mada chunga usifikiri kujificha nyuma ya keyboard ndio huwezi dakwa.Ni geografia tu kujua uko longitude na latitude namba ngapi kwenye point zinapo intersect unafikiwa hadi hapo ulipo na unadakwa kirahisi tu
Hawatakuelewa na hawakuelewi unachosema,ukweli ndio huo.NILICHOGUNDUA, WANAOLALAMIKA SUALA LA UKABILA WENG WAO NI WACHAGA, NA HII INATOKANA NA HULKA YA UKABILA WALIYONAYO WACHAGA. SASA MMEKUTANA NA MPINGI UNAWADHIBITI KIDOGO MNALIALIA.
ZAMANI ILIKUWA BILA MAJINA YA MUSHI, TARIMO, TEMBA, MBOYA, MBOWE, N.K ILIKUWA NGUMU KUPEWA FURSA. TENA UKIENDA KWENYE INTERVIEW WANAANGALIA SURNAME, PANEL NZIMA IMEJAA WENYE MENO YALIYOOZA. WAKIONA HUJATUMIA SURNAME WANAKUULIZA UNATOKEA WAPI.. UKISEMA MTWARA HUKO, BS HIYO KAZI HUPATI.
WASUKUMA SYO WAKABILA KIHVYO.
TANZANIA MAKABILA YENYE TABIA YA UKABILA NA UBAGUZ WA KABILA YANAJULIKANA MIAKA NENDA RUDI
1. WACHAGA
2. WAHAYA
3. WANYAKYUSA
OFISI IKIWA NA BOSS WA MOJA KATI YA MAKABILA HAYO MATATU, BAS NDANI MUDA MFUPI TU HYO OFIS ITATAMALAKI KABILA MOJA NA LUGHA YA KIKABILA ITATAWALA HUKU WALE WASIO WA KABILA HLO WATATENGWA.
JPM, AWANYOOSHE NA KUWAVURUGA TU ILI KUFUTA UPUUZ WA UKABILA.