uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Hawa wao walikuwa wanapeana tenda kwa kujuana ila mambo yao mengi ni ujanjaujanja tuu.acha wengine nao wanufaike.Unafiki mtupu, siku ya kufa kwako utabaki mdomo wazi, huko hatujafika hata kidogo na hatutafika, tender hutangzwa na hutolewa kwa yule aliekidhi vigezo na si vinginevyo.
Kama huko nyuma taratibu zilikiukwa na upendeleo ulitawala kwa wasio na vigezo kupewa tender, zama hizo zimepita, hanyimwi mtu tender kwa kabila lake, acha kupanda chuki, hailisaidii taifa, sanasana ni kuliangamiza
Well said mkuu.Yaani mtu mzima unakamata sim unaandika Upuuzi kama huu.Unadhani unaandikia watoto wenzio?Kwa hiyo unataka kusema wanasajili kampuni upya?na kubadilisha majina ya watoto wao kisa hayatakiwi hapa nchini au?na siku yakitakiwa majina hayo ya Tarimo watawabadilisha tena?....Hebu tuwe tunatumia hata akili kidogo tu.
Agiza balimi mbili nakuja kulipa mkuu.kuna watu wanadhani wote ni mafala hawajui.Mleta mada mzushi Serikali hufanya biashara na kampuni sio watu binafsi .kwa hiyo wamebadili majina kuanzia kwa msajili wa makampuni kubadili majina ya wamiliki na pia wamebadili majina TRA na pia wamebadili majina ya signatories bank na wamebadili majina vitambulisho vyao vya taifa na passport,na vyeti vyao vyote vya masomo na kuzaliwa wamebadili ? kubadili jina si kitu rahisi hivyo mchochezi bwege wewe lazima litangazwe hadi gazeti LA Serikali.Huu uzushi wa kipuuzi.Mleta mada chunga usifikiri kujificha nyuma ya keyboard ndio huwezi dakwa.Ni geografia tu kujua uko longitude na latitude namba ngapi kwenye point zinapo intersect unafikiwa hadi hapo ulipo na unadakwa kirahisi tu
100% ni kweli mkuu .Nasikia Iliwahi kutokea miaka ya nyuma..baadhi watu wa dini fulani ilibidi wabadili majina ili wasifeli mitihani..
(Sijui ni kweli au la!)
Ubaya waliuanza wenyewe, Zama hizo mtu ukipangiwa kazi au hata kufungua tu biashara mjini kwao ilikua Ni mtihani, utaitwa 'chasaka'Wanatia huruma sana
Kuuliza si ujinga , hivi una akili timamu kweli ?Hizo data feki umezitoa wapi ,Nani kakwambia umekufa ,ili iweje umeleta Uzi kiushambenga
Uchumi wetu uko imara imara zaidi ya uimara wenyewe
Unaongelea uchumi wakati wewe ni mganga wa tiba mbadala, wapi na wapi!,..hata uchumi wa kwenye makaratasi umedorora.
..uchumi wa mtu mmoja-mmoja umeporomoka kabisa.
..mzunguko wa pesa ni mdogo ni biashara za watu wa chini wa kawaida zinakufa.
..kipato cha wananchi kimepungua.
..ni kweli uchumi wetu ulikuwa na matatizo. Magufuli alichaguliwa aje kutatua matatizo hayo bila kuongeza matatizo mengine mapya.
..haiwezekani mgonjwa amuone daktari kwa kusumbuliwa na homa, halafu ktk kutibiwa apatwe na magonjwa ya kuhara, pumu, blad-presha,...
Hao wasomi hawana la kufanya. Anawaamulia kila kitu.Halafu kwenye hii awamu yake ndio tumeona wasomi wa juu wakipewa nafasi, sasa sijui shida iko wapi.