Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Wewe unampenda sanaaaaaa. Inaonyesha tayari 2020 umepigia kura. Good move...
Namchukia sanaRais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
 
Mimi nahisi tatizo sio makufuli bali Mungu kaamua kutuadhibu watanzania inabidi tujinyenyekeze kwake kuomba toba ili atuondolee hili pigo vinginevyo tutaangamia kwa njaa magonjwa risasi kutoswa habarini tumefungwa kamba zenye mawe mazito sumu vipigo nk nk.

Huyu ni wakala tu lakini yupo mhusika mkuu awezaye kusema yatosha na yakakoma mara.
 
Wewe mnyarandwa utampendaje Mtanzania

Ameanza kuwanyoa kimyakimya mnaanza kumchukia ,
 
We are done. Things are getting worst day after day. Rip democracy. Rip Tanzania
 
Ina uhusiano gani na magu kuwa dikteta!!
 
Kama hiyo picha kwenye avatar yako ni wewe, then usimchukie hivyo ndugu yako!.
Damu nzito kuliko maji!.

P
Mkuu pascal, kwanza kabisa na mimi niweke wazi sifurahishwi jinsi huyu mtu anavyo chezea nchi yetu!!

Lakini je, hizi chuki unadhani zimetokea wapi? maana sio tu mleta mada ana chuki nae...kuna watu kibao mtaani wamejeruhiwa na sera zake mbovu!!

Je hii chuki haiwezi tumiwa na nchi maadui kuwatumia hawa watu kudhuru nchi yetu?

Je mtu kama huyu akiambiwa tunaweza mtoa magu kama ukifanya a,b,c unadhan atashindwa shawishika?

Au mtu kama huyu akiambiwa tupe data za kitengo fulani alafu tukulipe unadhani atashindwa shawishika??

Je unadhani hizi chuki zilizopandikizwa mioyoni mwa watanzania hasa vijana chanzo chake ni nini?

Je unadhan wale ndugu ambao binti yao alipigwa risasi watakua hawana chuki na jeshi la polisi na serikali kwa ujumla?
 
Hahahaha mm namwomba nichimbe dawa kidogo ili tuendelee Na safari
 
Sio kweli, watu wengi wametulia tu wanaumia lkn wanashindwa waseme nini,ukitaka kuproove hilo chunguza huu Uchaguzi mdogo, utagundua kitu .
Samahani sana mkuu, intention yangu ilikuwa kuandika "you are not alone" daah nimeumia sana kupotosha umma wa jf. Nimeshaedit mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…