Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
mbowe anaingiaje hapo kwenye siasa hizi za awamu ya 5?
 
Mimi hata nikisikia jina lake nasikia kichefuvhefu(Mungu wangu anisamehe kwa hili)

Ila watanzania sisi ni waoga sana...watu wangekuwa majasiri wallah tungepigana tu ili tuheshimiane..Hawezi kutupelekesha watu wazima na Akili zetu jinsi anavyotaka yeye
 
Mi nipo tayari kujilipua na mkulu niende nae mbele za haki, MBOWE tafuta zana usiwe mnyonge, iwe fundisho na historia.
 
Mbowe ndiye aliyeharibu upinzani wa kweli kwa kubadili gia angani, kisha vibaraka wake kina lissu wakafuata. Ni lazima upinzani huu watanzania tuukomeshe na utokomee kama tufamyavyo sasa. 42-1, utokomee kwa njia yoyote ile kwa faida ya taifa hili.
Tulia wewee
 
Mbowe ndiye aliyeharibu upinzani wa kweli kwa kubadili gia angani, kisha vibaraka wake kina lissu wakafuata. Ni lazima upinzani huu watanzania tuukomeshe na utokomee kama tufamyavyo sasa. 42-1, utokomee kwa njia yoyote ile kwa faida ya taifa hili.


Go to school Dude


Swissme
 
Mi nipo tayari kujilipua na mkulu niende nae mbele za haki, MBOWE tafuta zana usiwe mnyonge, iwe fundisho na historia.

[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Kuchukiwa ni jambo la kawaida, hata Yesu alichukiwa, alipigwa, aliuawa na wanadamu - sasa rais JPM vyovyote vile lzm baadhi ya watanzania wamchukie sbb amewashika pabaya:-
1. Fikiri jinsi BANDARI ilivyokuwa chochote ya kuiba kodi za serikali,

2. Fikiri jinsi watumishi wa umma walivyokuwa wanaenda kupumzika London weekend,

3. Fikiri jinsi wenye fedha walivyopoka viwanja, viwanda na ardhi za wanyonge,

4. Fikiri jinsi mikataba ya uchimbaji madini ilivyokuwa mibovu, nk nk nk

Sasa:-
Kama wewe ulikuwa unanufaika kwa namna yoyote ile na fedha zitokanazo na wizi huu lzm umulaumu JPM.
Hayo yote yanahusiana vipi Na siasa zachuki? Tena chuki ya wazi.... Kwanini asifanye demokrasia huru lakini sheria isimamiwe? Watu wanachochukia nikumimnywa kwa demokrasia...
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
kesho akitubu, utampenda ...?
 
Hina namna, miaka nane ya ma**ko ndio, utaikubali tu. Hutaki nenda kwa wala ma**ko wa mombasa.
Tulia wewee. Yani kabisa unaridhika jamaa anavyoididimiza nchi yetu? Rebeca 83 kabisa kukuambia anampenda jamaa lakini siku zinavyozidi kwenda anakuwa dissapointed naye Na Akina Rebecca Ni wengi. Jiulize wangapi walishamuona mkombozi mwanzoni was utawala wake alipokuwa anatembelea mahos
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom