Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Tangu wameanza kujiuzulu CHADEMA imetetereka?Bavicha mna akili za kinungunungu sana, chama chenu kinakufa kutwa kucha mnazungumzia CCM. Sijaona bavicha yeyote humu kaanzisha thread ya kujadili mikakati ya namna ya kunusuru chama kwenye mporomoko
Inahitaji mtu mwenye upungufu wa akili kutojua kuwa toka tangu waanze kujiudhuru Chadema haijatetereka, wabunge na madiwani wote hao waondoke alafu chama kisitetereke?Tangu wameanza kujiuzulu CHADEMA imetetereka?
Hoja ya msingi tu kwenu nyie wenye akili,serikali ya ccm inajinadi kwakubana matuzi wakati huohuo inavuruga pesa za walipa kodi katika chaguzi za marudio kwa wanachama ilio wahonga kutoka upande wapiliBavicha mna akili za kinungunungu sana, chama chenu kinakufa kutwa kucha mnazungumzia CCM. Sijaona bavicha yeyote humu kaanzisha thread ya kujadili mikakati ya namna ya kunusuru chama kwenye mporomoko
Bavicha mna akili za kinungunungu sana, chama chenu kinakufa kutwa kucha mnazungumzia CCM. Sijaona bavicha yeyote humu kaanzisha thread ya kujadili mikakati ya namna ya kunusuru chama kwenye mporomoko
Siku mkiimaza/mkiisambaratisha CHADEMA/upinzani unishtue niwatunuku taji la uchapakazi kwa kumshinda adui wenuInahitaji mtu mwenye upungufu wa akili kutojua kuwa toka tangu waanze kujiudhuru Chadema haijatetereka, wabunge na madiwani wote hao waondoke alafu chama kisitetereke?
Baada ya maelezo hayo, tupe sasa muhitasari wa namna gani Chadema mmefanikiwa kuwaletea maendeleo watanzania kupitia manispaa mnazoziongoza ama hata majimbo mnayoongoza!!Kibaya si kuhama kwao, tatizo ni wamehamaje na kwa nini wamerudishwa kugombea ubunge huo huo walio ukataa?
Haya ni matumizi mabaya ya kodi za wavuja jasho kwa koti la Demokrasia ina gharama"
Mark my words, time will tell!!
Hamtafanikiwa kwa lolote.Inahitaji mtu mwenye upungufu wa akili kutojua kuwa toka tangu waanze kujiudhuru Chadema haijatetereka, wabunge na madiwani wote hao waondoke alafu chama kisitetereke?
Wengi watahoji mbona lowassa alihama na akapewa ugombea?Ukitaka kujua CCM waliingia makubaliano na wabunge wa CHADEMA waliohama hivi karibuni kutoka majimbo ya UKONGA na MONDULI watazuia kura za maoni kwenye majimbo hayo ila kwa jimbo la KOROGWE ambako Mbunge Stephen Ngonyani(PROFESA MAJI MAREFU) alifariki wataitisha kura za maoni.
Wananchi mkiambiwa kuna agenda ya siri kwa CCM katika mkakati wa kuwarubuni na ama kuwahonga wabunge na madiwani wasiojitambua na kujiamini msishangae! Hapo ndipo CCM MPYA ya Yohana ilipofika.
Kibaya si kuhama kwao, tatizo ni wamehamaje na kwa nini wamerudishwa kugombea ubunge huo huo walio ukataa?
Haya ni matumizi mabaya ya kodi za wavuja jasho kwa koti la Demokrasia ina gharama"
Mark my words, time will tell!!
10) Hadi sasa bado hatujaweza kukarabati makao yetu makuu pale ufipa.1) nchi ilikuwa imeoza
2) wapiga dili walikuwa wengi
3) msema kweli mpenzi wa Mungu
4maendeleo hayana chama
5) Mafisadi nitalala nao mbele
6)sipangiwi cha kufanya
7)Mimi ni yule wa wanyonge
8) wafanyakazi hewa walikuwa wengi
9)mniombee (haisikiki sana siku hizi)
Badilisha "CD".., hii wasikilizaji wameichoka siku nyingi.., kuna mengi sana wanauliza kutoka kwenye madirisha ya vyumba vyao (kwa sauti ndogo) tueleze kuhusu Ajira, kilimo, uchumi, elimu etc.
(11) mimi ni jiwe10) Hadi sasa bado hatujaweza kukarabati makao yetu makuu pale ufipa.