Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hata waliokupa likes hawajitambui. Nonsense!
 
Tin number zinapatikana haraka, kibali cha ujenzi kinatolewa kila wiki,viongozi wamekuwa karibu na wananchi kutatua kero zao e.g Mawaziri, umeme umesambazwa vijiji vingi, wakulima tumeruhusiwa kuuza mazao nje, n.k
 
Itakua yupo na mungu Sio MUNGU. Mungu si dictotor wala halishi CHATU binadamu.
 
Kuna demu mkaaaaali.... anapita karibu yangu.... ngoja nimalize kumuangalia kwanza
 
Zero brain at his best...Mwache JPM apige kazi kama vipi hama nchi
Mkuu hayo Ni mawazo ya KICHWA chako tu . Ahame kwa amri yako?, ungekuwa na uwezo kiwango hicho ungesha hamisha NJAA iliyowajaa wana lumumba VICHWANI.
 
Zero brain at his best...Mwache JPM apige kazi kama vipi hama nchi
Kama umesoma vizuri bandiko la huyu GT automatically Kuna kifungu kinasema kuwa watu kama ninyi ni mapunguani. Hakika ume-qualify upunguani wa kiwango cha juu kabisa
 
hama nchi katafute maendeleo ya watu,hakuna nchi iliyoanza kujengwa kwa raha,lazima wakati wa kupanda mkulima apate shida ila wakati wa kuvuna atafurahi.tatizo hamjui mnataka nini
 
Itakua yupo na mungu Sio MUNGU. Mungu si dictotor wala halishi CHATU binadamu.
unamjua king David,unamjua Yoshua?kasome uone mambo waliyofanya halafu ujiulize walikuwa na Mungu au hamna.Inaonekana humjui Mungu vizuri
 
Na
Na hawajui ni lini watumishi Wa umma wataongezewa mshahara na nyongeza ya kila mwaka kuwa regular.
 
Naomba mnieleze hivi yale makinikia yako wapi,je acacia bado wanasafirisha dhahabu au hawasafirishi je ile tume ya maprofesa wa madini mliyotumia gharama nyingi kuwagharamia tena kwa pesa za walala hoi km nyie CCM mnaifikiriaje,hlf mtuambie milion 50 za kila kijiji zitatoka lini,khs ile ndege mbovu iliyoko Mwanza tatizo nn sbb kama ilikuwa mpya imekuwaje iwe mbovu ghafla,mtuambie ununuzi wa madiwani na wabunge umetolewa uthibitisho na akina nassari mbn mmekaa kimya hamuoni mnazidi kumkufuru Mungu mnaposema eti nyie ni wasema kweli na ni wapenzi wa Mungu na huu unafiki utawafanya kila msemacho au mtendacho kisionekane,pia mnijbu hivi ni kwa nn serikali yenu imejiingiza ktk kila biashara hadi inafikia hatua makampuni binafsi yanapunguza watu ina maana nyie waliompa kura ni wafanyakazi wa serikali tu huu ubaguzi mnaufikiriaje,hivi mnatambua kuwa walipa kodi wazuri ni wale mnaowafanyia figisu figisu na msiowajali na hawa ni private sectors,Mniambie pia hivi ni kwa nn mnaonyesha chuki ,ubavu na uonevu kwa vyama pinzani inafikia hatua wanakuwa kama wageni au wakimbizi ktk nchi yao,hili nyie mnalionaje hivi hamuoni kuwa mnaowanea wana ndugu na jamaa zao na pia nyie mna ndugu zenu mtaani hivi wakiamua kulipiza visasi nyie mtapona maana mnalindwa vipi hao ndugu zenu na watoto wenu wanaosoma na watoto wa hao mnaowaonea?kwa nn mnawatumia polisi kuhujumu uchaguzi ni kwa nn msiwe huru tu ili muonee ni kwa jinsi gani wananchi wanawakubali,hizi teuzi za wanachama wa upinzani mnapowanunua na kuwapa vyeo inamaanisha nini,je huko upinzani kuna vichwa sana kuliko ndani ya CCM kama ndivyo kwa nn msiache hivi vyama vikue na viwatengenezee cream nzuri ila nyie mnaviua na mwisho naomba kujibiwa maisha bora yamekuwa kwa wana ccm tena waliojingiza ktk siasa na wanaokesha wanasifia mkuu na chama je hamuoni kuwa mnahatirisha umoja na kwa nini inafikia hatua chaguzi za maaskari polisi na magereza zinaingizwa ktk siasa hii ina maana askari wetu wote ni CCM,NISAIDIENI TU NIELEWE MIMI NA WANANCHI WENGINE WANOHITAJI KUJUA
 
Tulieni mfue viatu vya wanene hapo ufipa ili mikono yenu ya kinafiki iende kinywani.

Mambo ya kuhangaikia rasilimali za nchi hii yanahitaji uelewa mkubwa mno ambao Tanapa nzima hamna mwenye huo uelewa.
 
Tulieni mfue viatu vya wanene hapo ufipa ili mikono yenu ya kinafiki iende kinywani.

Mambo ya kuhangaikia rasilimali za nchi hii yanahitaji uelewa mkubwa mno ambao Tanapa nzima hamna mwenye huo uelewa.
Kama nchi nzima hakuna mwenye uelewa tunastahili kuitwa shithole country
 
Pole pole yupo busy na kuchota pesa za walala hoi

Na kuwenda kununu vichwa vilivyo zalishwa na chadema ili akavitumie katika chama lao

Maana katika chama lao hakuna watu wa maana ndio maana wanao hamia huko wanapewa nyadhifa mbali mbali
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…