Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
1.Uchumi wa nchi upo hoi
2.Hataki kuajiri,yeye ni kufukuza tu
3.Ameua uhuru wa Habari(kwa kuthibitisha hilo huu uzi hautadumu)
4.Ameua Demokrasia
5.Anatumia pesa za umma kulaghai wapinzani (kuwanunua) na kurudia uchaguzi ,je? Hivyo ndo viwanda?
6.Wanaomkosoa anawatisha
7.Manunuzi ya ndege hayakuwa na baraka za wananchi (bunge)
8.Hakuna anayejua nchi hadi Sasa hivi ina mwelekeo gani,kila kukicha mambo ya ajabu yanaibuka,samaki wa ziwa Victoria wamegeuka kuwa Bange, watu wanajiuliza kwa nini isiwe samaki wa ziwa Nyasa,ziwa Tanganyika au wa Baharini? Kuna tetesi kuwa anajenga kiwanda cha samaki kwa ubia na wachina Sasa anaona samaki wa ziwa Victoria wataisha.
9.Ana chuki za wazi na wapinzani, moyoni mwake huwaona Kama wahaini.
10.Hakuna mtu ambaye hajalia chini ya uongozi wake, wafanyabiashara wamelia, wakulima wamelia, wafanyakazi wamelia, wafungwa wamelia.
Sasa tukupende kwa lipi Baba? Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, hatukupendi.
2.Hataki kuajiri,yeye ni kufukuza tu
3.Ameua uhuru wa Habari(kwa kuthibitisha hilo huu uzi hautadumu)
4.Ameua Demokrasia
5.Anatumia pesa za umma kulaghai wapinzani (kuwanunua) na kurudia uchaguzi ,je? Hivyo ndo viwanda?
6.Wanaomkosoa anawatisha
7.Manunuzi ya ndege hayakuwa na baraka za wananchi (bunge)
8.Hakuna anayejua nchi hadi Sasa hivi ina mwelekeo gani,kila kukicha mambo ya ajabu yanaibuka,samaki wa ziwa Victoria wamegeuka kuwa Bange, watu wanajiuliza kwa nini isiwe samaki wa ziwa Nyasa,ziwa Tanganyika au wa Baharini? Kuna tetesi kuwa anajenga kiwanda cha samaki kwa ubia na wachina Sasa anaona samaki wa ziwa Victoria wataisha.
9.Ana chuki za wazi na wapinzani, moyoni mwake huwaona Kama wahaini.
10.Hakuna mtu ambaye hajalia chini ya uongozi wake, wafanyabiashara wamelia, wakulima wamelia, wafanyakazi wamelia, wafungwa wamelia.
Sasa tukupende kwa lipi Baba? Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, hatukupendi.