Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Bila shaka hata wewe mwenyewe unaona jinsi hali ilivyo mbaya. Mtu uliyemkabidhi kijiti haukumpa uelekeo. Anaenda na mbio zake, anaelekea anakokujua yeye. Hali hii inaogofya sana. Uvumilivu umefika ukingoni. Mhe. rais mstaafu unatusaidiaje? Au tuambie tufanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua hali mbaya kivipi?? Na ulitaka iweje ili uone hali nzuri? Isije ikawa wale wale wa SUA ya dodoma
 
kaa hapo hapo kwenye mode ya defiance,sie tunasonga mbele
Mfanye mambo mkitizama kesho, vizazi vyenu vitaishije. sio kwa kuangalia leo
Itizame america ya leo siasa, uchumi, uhuru wa kujieleza vilijengwa na wazee wao.
 
Taifa hupata kiongozi aliye stahili yake.. We needed a mild dictator. Na hapa tuseme tumepata kiongozi tuliyemhitaji. Sasa kama ukali umezidi basi tuvumilie , lakini bila unafiki ndiye roho zetu ndiye tuiyemtaka. Binadamu kweli ni kigeugeu likiwaka jua anatamani mvua na ikinyesha mvua anataka jua. Tumshukuru Mungu Mheshimiwa amesema hataongeza hata sekude moja miaka yake 10ikipita MUNGU amlinde atimize ndoto zake. Hivi wachina wanasonga mbele sana wanayo demokrasia . Let us experience the other side of the coin. Siasa za majukwaa tuzipumzike ingawa Democracy ni jambo adimu na adhimu na inafurahisha nafsi ya MTU anayejithamini. Mimi naipenda democracy , lakini kama wengi tulipenda mkali Mimi ni nani niwe kinyume na wengi? Tutafika tu kwa uwezo wa Mungu. Amina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua hali mbaya kivipi?? Na ulitaka iweje ili uone hali nzuri? Isije ikawa wale wale wa SUA ya dodoma
na ukiona mtu hadi sasa anataka afafanuliwe eti hali ngumu ilivyo kwa tanzania yaani hajui eti kama hali ni ngumu ama laaa! hakika mtu hiyo hana manufaa yeyote kwenye taifa hili ni sawa na kinyesi ingawa hata kinyesi kina faida kwa mimea nadhan ni zaid ya kinyesi.
 
kikwete hawezi kukwepa hii lawama hata kidogo" anajitahidi mnoooo kujisafisha kwa kuishi ndani ya hekima na busara" lakini ndio basii tena". Ameshakuwa kitambaa cheupe chenye Doa"..... familia yako unayoipenda hauwezi kuiletea mama kahaba ailee" vinginevyo tarajia kuwa na watoto makahaba.wezi. na mashoga
 
acha uwongo hakuna mtu aliyemtaka"... wataka kuniammbia watanzania walimtaka kiongozi anayeiminya democracy" anayebariki mauaji(lisu)" na kupoteza watu kama ilivyo kwa ben saa8 na azory
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…