Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
ni dhahiri kabisa wewe una upeo mdogo sana wa kufikiri ujinga unao fanywa. na serikali upo bayana hata mtoto wa chekechea anauona bila shaka au mnadhani bado tupo zama za kale za mawe?
Fafanua sasa..unapewa nafasi ya kuelezea na unataka iweje..hauongei..kama unayosema ni yako na haujaokoteza kwenye tanzania daima au kwa da mange fafanua basi..huyo mange mwenyewe alihojiwa akashindwa sema..ndio shida ya kusikiliza vitu kisha unataka kuaminisha wengine..fanya utafiti binti..unawaangusha wanawake wenzio kwa akili hizo za panzi
 
Umeongea kwa hisia kubwa sana. My prayer: GOD if you really love your people come and heal them.
God can never rescue thieves,idolaters, lovers of themselves,lovers of money, corveters,infidels etc.etc.,things which the third and fourth government phases stood for.God only stands by the upright,godly and just friend.
 
.

Jr[emoji769]
 
Ameniambia nikujibu hivi: Ili niwasaidie, UNGENI MKONO JUHUDI ZAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mnasema mimi mpole, sasa nimewaletea huyu mkali, anatemaaaaa Checheeeeeeee" J.M kikwete [emoji23][emoji23]
 
God can never rescue thieves,idolaters, corveters,infidels etc.etc.,things which the third and fourth government phase governments stood for.God only stands by the just friend.
I didnt mean to rescue thieves or idolaters but innocent people who are being injured by the ats of the aforementioned people.
 
'Tunazidiwa Hata Na Rwanda wana Shirika la ndege'- Wanasiasa Uchwara 2005-2015
 
Kinachotakiwa ni kufuata katiba sio Ku camouflage kwenye ukali kuficha weakness hata shuleni ukiona mwalimu mkali sanasana jua kuna kitu anaficha
Kwa nyakati kama hizi, wale wataalam wa saikolojia wanahitajika sana nchi hii kupungua ukali wa misongo ya mawazo ya wananchi walio wengi.
 
nenda kalime wewe acha kuishi kimazoea..kama ulikuwa ukiishi kwa madili basi imekula kwako...baki unalalamika lalamika kama mwanamke wenzio wanapiga kazi kazi kwa kwenda mbele...jingaa sana
 
Jana alipokuwa anaongea kwa hudhuni nilimshangaa sana...

Nikasema kumbe na yeye anaumia...

Anaumia nini.... Analia nini..

Nikaishia tu kukumbuka Lissu... Saanane .... Azory..

Shabashhh..
mbona marehem baba yako na mama yako hujawakumbuka..au kwa sababu hawana umuhim kwa sasa kwako
 
kamanda hivi wewe ni chama gani vile..mkipewa dola mnaweza kuongoza..au unaharisha tu hapa...angalia wenzio wanavyohama baada ya kugundua kwa sasa hawapo mahala sahihi..
 
Hapana wala usimlaumu sana huyo jamaa coz anaishi kwa Dada yake na shemeji yake amesafiri kidogo hivyo yeye hajui ugumu wa maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikwete mlimwita mcheka cheka hovyo Na dhaifu kawapeni asiyecheka Na strong.Mlichotaka mumepata sawa Sawa Na matamanio ya mioyo yenu
Hakuna cha ajabu hapa. Zote mbili ni EXTREME. Ukitaka ufanikiwe in every aspect, you must strike the balance. Wanyamwezi wanasema: Virtue stands in the middle. Tulihitaji A RATIONAL LEADER, sio otherwise.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…