Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
 
MASIKITIKO NA MAAFA MAKUBWA YATATOKEA JUU YAKO MLETA MADA WALAHI!
Ungetabiri hivyo sio kuja hapa na kuleta uwongo wako juu ya nchi yetu Tanzania!
NEEMA NA BARAKA JUU YA TANZANIA MILELE YOTE walahi!
 
Uzandiki wa wazi unafanyika dhidi ya wote wasiomsifia rais, vyombo vya habari vyote vinavyodhalilisha wapinzani vinafumbiwa macho, lakini vikionyesha udhaifu wowote wa serekali kinafungiwa kwa kisingizio cha uchochezi.
 
Speed ya KUPIGA RISASI WAKOSOAJI?? SPEED YA KUZIMA UHURU WA KUJIELEZA? SPEED YA KUPOTEZA FEDHA TRION 1;6 ? SPEED YA KUPANDIKIZA CHUKI YA UKANDA? UKABILA? UPENDELEO? KUVURUGA MISINGI YA AMANI KWA KUJIFICHA NYUMA YA MWAVULI WA MAENDELEO? NIMEAMINI UZAZI WA MPANGO UNGEZINGATIWA TUSINGEKUWA NA RUBBISH POST KAMA HIZO.BY the way MKUU Hongera kwa Kuchagua UJINGA.
 
Umeeleza vizuri sana ila tatizo ni hilo boya la kichaa jiwe liko kazini anatafuta riziki, ili aweze kupata mlo ni lazima kwanza apost chochote cha kusifia kichaajiwe
 
MASIKITIKO NA MAAFA MAKUBWA YATATOKEA JUU YAKO MLETA MADA WALAHI!
Ungetabiri hivyo sio kuja hapa na kuleta uwongo wako juu ya nchi yetu Tanzania!
NEEMA NA BARAKA JUU YA TANZANIA MILELE YOTE walahi!
Sawa
 
Ignorance: The reason for all this, we spend our time fond of unnecessary life realms aside from what constitute our lives in the better ways, then let us perish 😕😕
 
Kichwa cha habari kizito Hakuna hoja ya msingi
 
Nasikia Mwandiga pamoja na ufundi wao wote, hawana uwezo wa kumuingiza mtu IKULU😯😯
Hawajataka tu!Soon utasikia na siunaona Zitto hata watu wasiojulikana wanamwogopa ,unaona ana kesi za ajabuajabu.Uliza Kigoma one ndio utaijua mwandiga wewe!Urais wa wapi!unajuaje hawamwongozi aliyepo?mpaka anaona u_ichaa ni sifa taratibu tutafika tu
 

Kwa vile unamwamini Mungu pia hayo unayoandika huyo Mungu ndiye aliyekuongoza. Ila ni wazi kuwa Mungu wako sio wa Mbinguni ni mwingine ambaye anakuruhusu utunge uongo umbambike mtu na kisha umtuhumu kwa uongo uliombambikia. Usijali kuna siku utaangaziwa mwanga utamtambua Mingu wa kweli na ninaamini utajuta sana kwa hizi post zako.
 
A.alleikhum mabibi na mabwana,nisiwachoshe sana na utangulizi,kama title inavyojieleza
Nimekua nikisikia kauli za kukombolewa/kutetewa/kusaidiwa kwa mwananchi mnyonge toka mwishoni mwa mwaka 2015, nguvu inayotumika kumuanisha mnyonge anayetetewa/kusaidiwa na utawala ni kubwa kuliko uhalisia,yani hata mnyonge hajui kama anatetewa/kupatiwa unafuu wa maisha,huyu Mnyonge ni yupi?

Naona gharama za maisha zinapaa,bidhaa muhimu zikipanda bei,vifaa vya ujenzi havishikiki,wakulima wanalia na pembejeo na masoko ya mazao yao,gharama za matibabu na upatikanaji wa dawa muhimu,watumishi wanyonge mfano walimu,askari na kada zingine maisha yao sio siri,wengi wanasema wanamkumbuka Mkwere...haya na mengine mengi yananifikirisha kutaka kumfahamu huyu mnyonge...

Au kama yumo humu JF ajitokeze tumjue..
 
Huwezi elewa chochote kinachoendelea nchi hii, kutwa kucha umepakatwa, nchi ni kubwa Sana, na kunahatua njema zinatendeka, wewe endelea kupaka wanja mjini
 
Huwezi elewa chochote kinachoendelea nchi hii, kutwa kucha umepakatwa, nchi ni kubwa Sana, na kunahatua njema zinatendeka, wewe endelea kupaka wanja mjini
Kwa faida ya wanajukwaa,wewe unayeelewa tiririka basi..
 
Na mimi nina mda namtafuta. Au sijui ni mistari tu ya wazee kuonekana wema ili wabaki kwenye viti

Ila yawezekana ni wale(sisi) jamaa ambao hatujambui hoja. Hatupendi kusoma( elimu ya darasani, vitabu, majarida, na taarifa mbali mbali.)

Tutakua ni wale ambao hatuko makini kufuatilia uhalisia wa hali ya maisha na nchi.

Itakua ni wale ambao tukipewa maneno matamu. Tuna wapitisha.

Bahati mbaya ukishakua mnyonge na ukajikubali badala ya kutafuta njia ya kutoka kwenye huo unyonge utabaki tu kuwa mnyonge.

Kwa upeo wangu wakijinga huyu ndiye mnyonge.

Ila kuna wale wanaopewa hadi allowance ya vyakula vya familia zao na bei ua mtaani ni mpaka wasome taarifa za uchumi. Wao sijui nao ni "wanyonge"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…