Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Labda jingalao
 
ni wewe unaandaliwa kuwa fukara na mnyonge
 
Mnyonge ni yule pale Monduli alipigwa jua kumchagua Kalanga, baadae Kalanga akajiuzulu kuunga juhudi na kurudia uchaguzi, mnyonge huyo tena akaenda kuchomeka jua kumchagua.
 
Bado tu amjaona Tunakokwenda? Nchi yenye nidhamu ya pesa za serekali. Wananchi kulipa kodi hili kupata maendeleo...... nchi yenye kuambia kitu na mara moja kuelewa
 
Mungu ndiye mwenye mamlaka ya kuhukumu na kusamehe! Yeyote afanyaye kinyume aenda kinyume na maandiko na atahukumiwa kwa hayo.
 
Wapo ili walipwe kodi zenu mengine kila mtu apambane
 
Anae mpa huai Stone kama rais wa nchi hii ya tanzania, usifikiri haoni Stone anacho kifanya.
 
Hii ni kutokana kwa kuchezea hela za walipa kodi hovyo hovyo . Pia uwezo wake mdogo wa kiutawala. Pia chuki wivu husda majigambo nyodo. Pia kugawanya watanzania kikanda na kikabila. Pia wizi wa matrillioni. Pia kuudondosha uchumi maksudi nakufanya hali ya watanzsnia wengi kuwa ya ufukara ilhali yeye na genge lake wachache wakifaidi keki ya taifa. Pia kunyanganya mke wa mtu

ISIS johnthebaptist thetallest
 
Wewe ndo wananchi au
 
Politics is an art of making your selfish desires seem like national interest
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…