Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
 
Nilimwelewa sana Zitto jana
Hushangai alitangaza siku tatu za maombolezo kitaifa,bendera kupepea nusu mlingoti lkn wakati wa mazishi ya wahanga wewe unaenda kanisani unatoka unaenda kufurahi na traffic police. Hana uchungu wowote km baba wa familia.
 
Huwezi kujua utendaji wa sehemu vizuri mpaka Tatizo litokee. Pamoja na idara, polisi, jeshi, serikali ya mkoa utendaji wa hii ajali unaonyesha ni jinsi gani tumekazania mifumo kisiasa zaidi na kusahau matatizo ni watu na maisha ya Watanzania. Inaelekea wakati wabunge wakilalamika kwenye chombo kibovu walikuwa wanasikilizwa kisiasa. Lakini hata kwenye mambo mengine yanashangaza jamaa waliotoa makontena ya msaada walisema hawatatoa mpaka wapate barua ya kutokuwa na kodi mkuu wa mkoa akatuma huko Washington state wakampa vitu serikali hiyo hiyo inapiga vitu mnada. Tatizo ni mifumo kama kweli mkuu wa mkoa alikuwa hajui utaratibu wa serikali je mtu wa kawaida atajuaje. Lakini pamoja na yote haya watoto bado wanakaa chini wengi tu. Sasa tunatatizo gani yaani hata ukiangalia vizuri vitu vinavyo sifiwa havifanywi na serikali ni miradi ambayo inafanywa na private companies kama reli, barabara na hata majengo hivi sio vitu vinavyofanywa na serikali ni contracts. Ni vigumu kuona vitu ambavyo serikali yenyewe inafanya vizuri. Ni wakati wakuangalia mifumo yetu vilevile jamani Technology ya sasa watoto hawatakiwa kukaa chini, watu kufa au migogoro ya ardhi wakati kuna GPS🤔. Kuna watu wanakazania mazoea na utaratibu ambao haufanyi kazi.
 
Tatizo vikao; watu wameshazama wewe unaitisha kikao tena si kwenye eneo la tukio. Bado wazungu tutawapigia magoti saana; maana hata haya madogo madogo ya kufanya wenyewe yanatushinda. Nchi huru miaka 50 na ushee hatuna mfumo wa kuokoana kwenye majanga unaoeleweka; (Nation Rescue Plan).
 
Kama alisema sehemu fulani, basi haina shida maana hiyo inaweza kuwa alimaanisha mdomoni, yaani watavitapika.
 
Mtaje ni mtu gani huyo ili tukupatie stahili yako maana yaonekana unahitaji ile kitu unayopewaga siju zote
 
Amazing stupidity KINACHO ZUNGUMZIWA NI TAIFA SIO MTU MMOJA MMOJA
Hivi upumbavu mtu anazaliwa nao au hujifunza ukubwani?
 
Najua wapo watu wengi wasio na vyama na walio na vyama ambao wanajinasibu kutomuelewa Rais Magufuli kwa anayoyafanya. Nimeamua kuanzisha uzi huu maalumu kwa wasiomuelewa watuambie ni kwanini hawamuelewi na wale wanaomuelewa wawe na chama wasiwe na chama watusaidie kujibu maswali ya hao wasiomuelewa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…