Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Baada ya chama chetu tulichokiamini Sana kugeuka na kuwa chama cha wachumia tumbo sasa hakiwezi kuzalisha tena state individuals or states man wa kuweza kufanya hivyo ambavyo havionekani kwa macho. Kinazalisha politicians, wanasiasa uchwara, wachumia tumbo ambao kila saa wanafikiria uchaguzi,mwisho wa siku wanaishia kufanya vitu vinavyoonekana ili kujustfy uwepo wao, Kwa kifupi ccm ni janga la nchi yetu kwa sasa kuliko umaskini,ujinga na ukimwi
 
Kama hujui uendako huwezi kupotea
 
Yamanifika shingoni mwenzenu nimeshindwa kuvumilia. Hivi tunalipeleka wapi taifa letu. Sasa vijana wengi ambao nilitegemea wawe nguvukazi ya taifa wakifanya shughuli mbalimbali za uzalishaji mali. Sasa wanaamka asubuhi na mapema kuwahi kwenye mitandao na mashine za kubet- Kucheza kamali. Jamani tunatengeneza kizazi kijacho cha wacheza kamali watakaotegemea bahati na sio bidii na weledi wao kuzaalisha (they wont be productive)Kamali imekatazwa na vitabu vyote vya dini. Mh. Raisi hili hujaliona?????. Hata kama wanalipa kodi, huwezi halaliisha haramu kwa sababu ya pesa. Hivi huyu Mungu tunayemuomba atatusikiliza kweli huku tunaenda kinyume na makatazo yake. NCHI HII TUTAIFANYA KUWA YA MATAPELI WATUPU TUSIPOJIREKEBISHA. Eee mungu tusaidie
 
kwakweli mm suala la mamichezo hayo nahis kama sodoma na gomora...yan nahis umombasa mombasa hv... kwakweli nakereka!unayakuta yameshika makaratasi ova yanacheki matokeo ya form 6!..majanaume na siku hizi na wamama nao arghhh
 
Mkishapata vihela mnaanza kuwaponda wenzenu eti hawafanyi kazi wanashinda kwenye mitandao.

Kila mmoja ataokota ridhiki yake pale anapoona ipo.

Acheni hizo.
 
Ikifika J.pili una wakuta kanisani eti na wao wanakwenda kufanya Ibada ....

Maisha bila unafiki ni sawa na gari lisilo na mafuta wallahi...

lakini serikali ya nchi hii imeshajitabanaisha kwamba haina dini".. kwa hiyo tusitarajie kuwa wataiona kamari ni kitendo cha dhambi"... kwa sababu wapo nje ya imani ya hizo dini
 
Binafsi hadi 2025 naiona tanzania yenye madini, milima, mito na mabonde ikiitwa nchi yenye uchumi wa kati kinadharia lakini ki uhalisia hakuna uhalisia unaohubiriwa.
 
Naiona "downfall" ya kutisha kiuchumi kwenye nchi yangu ya Tanzania.......
 
Binafsi hadi 2025 naiona tanzania yenye madini, milima, mito na mabonde ikiitwa nchi yenye uchumi wa kati kinadharia lakini ki uhalisia hakuna uhalisia unaohubiriwa.
kutekana kutakuwa nje nje mara 5 ya hivi sasa ... kuhusu uchumi tujiandae kuporomoka kwa shilingi Yetu mkate wa 1k utakuwa unauzwa 5ks
 
Naiona nchi yenye miundo Mbinu mizuri sana from Ocean zone to lake zone lakini uchumi ukiwa dhoofu ilhali. Wachina watajazana kila mahali mana watakua wanajitahidi kuvaa mashati ya rangi ya majani kudumisha umoja wa nchi za kijamaa kama China ambayo kiuhalisia ni nchi ya kibepari na ya kinyonyaji kwa sasa. Ujamaa umebaki kama neno tu na tamaduni za kichina laikini ujamaa haupo.
Ujamaa wa kweli uko nchi za Ulaya ya Kaskazini.
 
"Ila tuwe wakweli Magufuli kaua uchumi"

2025 ingawa mimi naamini hatokuwepo kama Rais

Akiwepo vijana hasa wasomi watakuwa hoi bini taabani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…