FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Haya! Andaa nguo zako mapema mapovu yaja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ujuha na ujinga wa kiwango cha lami. Upumbavu kama huu wa mtu kujifanya anajua kila kitu ni ubwege wa ngazi ya chuo kikuu. Kwa vile sisi wazalendo na wafia nchi tumewaeleea nyie machakubanga, then hamtupi shida kabisa. Ndoto zenu za watu elfu moja wa kwenye mitandao kwamba mtaleta upuuzi ktk nchi hii wala hamtafanikiwa. Sana sana mtadhughulikiwa vizuri tu kwa mujibu wa sheria zetu. Jifanyeni hamnazo tu. Kazi kushinda nyuma ya keyboard na kuongea utumbo. Jitokezeni hadharani mleye huu ujinga wenu muone. Na ndio maana hii nchi hatuwezi kuwapa hayawani na nguruwe, ina wrnyewe hii.Wahenga walisema mjusi ukimkimbiza sana hugeuka kuwa nyoka. Kwa dalili za awali ni kwamba sasa tumechoka! Muda si muda transformation ya mjusi to nyoka itatokea.
Tumewapa jukumu la kuongoza boma kwa mujibu wa sheria, na si kwa matakwa yenu. Mambo ya kuteka Ng'ombe au mbuzi si sehemu ya makubaliano yetu.
Tumewaweka kuwa tumaini kwetu na wala si chanzo cha hofu na simanzi!
Makubaliano yetu ni kwamba katika boma tupo huru kutoa maoni yetu bila kuhalifu sheria mama na dada.
Haya ya kutunyamazisha na vitisho kwamba kuna watu wa boma nyingine wanatamani kuja kuchua uongozi wa boma letu hayavumiliki!
Let it be, hao wakitutawala watatufanyia nini cha ajabu kuliko upuuzi wa wazee wetu wa boma?
Utekaji wao utakuwa tofauti?
Kutupa miili yetu baharini kutakuwa tofauti?
Kutufanya wajinga kutakuwa tofauti?
Mjitafakari na kumrudia Mola wenu, mmepotea.
Mapovu kawaida tu, nitawafungua macho yao wauone ukweli woteHaya! Andaa nguo zako mapema mapovu yaja!
Sawa mkuu!Mapovu kawaida tu, nitawafungua macho yao wauone ukweli wote
Wenye kufaidi boma hawapo nyuma ya keyboard! Mpendwa jitambue! Who are you? Better than mwana boma Nepi? or Machemba ya maji?Huu ni ujuha na ujinga wa kiwango cha lami. Upumbavu kama huu wa mtu kujifanya anajua kila kitu ni ubwege wa ngazi ya chuo kikuu. Kwa vile sisi wazalendo na wafia nchi tumewaeleea nyie machakubanga, then hamtupi shida kabisa. Ndoto zenu za watu elfu moja wa kwenye mitandao kwamba mtaleta upuuzi ktk nchi hii wala hamtafanikiwa. Sana sana mtadhughulikiwa vizuri tu kwa mujibu wa sheria zetu. Jifanyeni hamnazo tu. Kazi kushinda nyuma ya keyboard na kuongea utumbo. Jitokezeni hadharani mleye huu ujinga wenu muone. Na ndio maana hii nchi hatuwezi kuwapa hayawani na nguruwe, ina wrnyewe hii.
Akina nani ?Huu ni ujuha na ujinga wa kiwango cha lami. Upumbavu kama huu wa mtu kujifanya anajua kila kitu ni ubwege wa ngazi ya chuo kikuu. Kwa vile sisi wazalendo na wafia nchi tumewaeleea nyie machakubanga, then hamtupi shida kabisa. Ndoto zenu za watu elfu moja wa kwenye mitandao kwamba mtaleta upuuzi ktk nchi hii wala hamtafanikiwa. Sana sana mtadhughulikiwa vizuri tu kwa mujibu wa sheria zetu. Jifanyeni hamnazo tu. Kazi kushinda nyuma ya keyboard na kuongea utumbo. Jitokezeni hadharani mleye huu ujinga wenu muone. Na ndio maana hii nchi hatuwezi kuwapa hayawani na nguruwe, ina wrnyewe hii.
Kweli. Ifike mahala tutambue nyuma ya JF kuna mtu anasota mahabusu kwa ajili yetuNaona unataka kumuweka @maxece mero kikaangoni tena ili atoe taarifa zako
Angalia watakuzingiraAlilivamia swala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia swala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwa tishia akina nape kuwafukuza ona linavyowatesha wananchi.
Alimfukuza mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya lugumi sasa imeonekana serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo lugumi.
Je kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa miko na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
Watanzani kwa nini tusimforce ajiudhuru atuachie nchi ili tumtafute mwenye uwezo wa kuongoza!!
Nyumbani kwetu kijijini tulikuwa na jiwe la kama kilo 5 hivi tumelifulikia ardhini nusu yake... Kazi yake kubwa ilikuwa kusugulia magaga miguuni....Alilivamia swala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia swala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwa tishia akina nape kuwafukuza ona linavyowatesha wananchi.
Alimfukuza mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya lugumi sasa imeonekana serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo lugumi.
Je kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa miko na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
Watanzani kwa nini tusimforce ajiudhuru atuachie nchi ili tumtafute mwenye uwezo wa kuongoza!!
Mtasubili sanaAngalia watakuzingira