Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
....unapata wapi uzoefu wa kukosoa uongozi, wakati hujawahia kuongoza hata kundi la singeli !?
Kwa mantiki yako hii ina maana hata nyie mnaomsifia Magufuli hamna uzoefu stahiki wa kumsifia maana sio nyote mliowahi kuwa viongozi. Au uzoefu unahitajika katika kukosoa tu?