Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
Rubbish.Bichwa kinyeo
 
Na hapo ni miaka 3 tu.. Ikifika miaka 10 na nyongeza juu kwa mujibu wa juma nkamiya, si itakuwa hatari?
 
Naona Jamii forums mmeamua kuajiri ma 'Mods' wa Lumumba, mimi nimeanzisha uzi kuwa (Jiwe kila analoanzisha anaharibu)

Mods mmeamua kuweka tittle yenu eti (Rais wetu kila analoanzisha anaharibu)

Ukitokea kesi hapo mimi sipo sababu

1.Mmenilisha maneno , sijamtaja Rais wenu katika uzi wangu orijino.
2.Mtaeleza kwenye mamlaka maana ya neno Jiwe.

Ndukiiiiiiii !
 
Ndugu wakuu habarini za jioni?
Nchi hii hali imekuwa tofauti na miaka ya nyuma! Kwa wale wataalam wa maswala ya project management naamini kuwa wanafahamu sasa kama ni mradi tayari umeshafeli(project failure), kuna mambo mengi sana ambayo sisi kama taifa kwa uzalendo na umoja wetu kama watanzani inabidi tutazame ni vitu gani ambavyo vimesababisha ile watu wanapata shida katika maisha yao ya kila siku, kila siku ni afadhali ya Jana tatizo liko wapi? Wakulima wanalia,wafanyakazi, wananchi wanalia,kotekote hali sio nzuri tumekosea wapi? Tuwekeni uzalendo mbele kwa maslai ya taifa hili
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…