warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
[emoji12] [emoji12]Kwahiyo unatutanguliza ili tuseme jiwe ndo tatizo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12] [emoji12]Kwahiyo unatutanguliza ili tuseme jiwe ndo tatizo??
Pia alisema wafanyabiashara wanaolalamika kodi kubwa ni wapiga dili. Juzi tena yeye huyo huyo anawakoromea TRA. Hapo mamake hata kile kidogo hakipatikani tena. Sasa wanaanza kushikana uchawi wenyewe kwa wenyewe.Wanja jamaa atuue kwa maisha magumu ili akili zisogeleane.Tumeendekeza uoga sana.Mtu gani anatia njaa taifa kwa kuendesha nchi kwa kibuli na mabavu watu wanapaza sauti maisha magumu yeye anasema wote waliao ni wapiga deal
Mbele ya camera jiwe hujifanya ni kiongozi wa wanyonge ila nyuma ya pazia anatoa maagizo ya kuumiza wananchiPia alisema wafanyabiashara wanaolalamika kodi kubwa ni wapiga dili. Juzi tena yeye huyo huyo anawakoromea TRA. Hapo mamake hata kile kidogo hakipatikani tena. Sasa wanaanza kushikana uchawi wenyewe kwa wenyewe.
[emoji16] [emoji16] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kazi ya ma-CHADEMA hiyo Mkuu! Waliiharibu sana hii nchi beyond repair! Angalau sasa inakombolewa kutoka mikononi mwa manyang'au Chadema waliotunga sheria za ajabu ajabu za kuifilisi nchi.
Afadhali hao wengine maisha yalikuwa yanaeleweka, sasa hivi hakuna maisha ya kueleweka na kila kitu kinafukiwa shimoni.Alikuta mambo mengi yameishaharibika; hivyo akijaribu kuyafanyia marekebisho yanaharibika zaidi. Tukae tujiulize maswali ya kimantiki.
1. Alipoingia madarakani alikuta nini azina?
2. Nani aliharibu miundo mbinu ya treini na kuliingiza taifa kwenye matumzi ya barabara?
3. Nani alikuwa akiinjinia uuzwaji wa wanyama kutoka kwenye mbuga zetu?
4. Nani aliruhusu mfumo wetu wa elimu uendelee kutumia utaratibu ule ule wa mkoroni?
5. Nani aliharibu kwenye kilimo kwanza?
6. Nani aliuza benki zetu, nyumba za wafanyakazi kwa kisingizio cha ubinafshishaji?
Majibu ya maswali haya yatamfanya rais wetu aonekane kuwa anachokifanya ni kufufua kile kilichokuwa kinaelekea kufa kabisa. Na hapa sio kwamba namtetea kwamba mimi nina hali nzuri - hapana. Sikuwahi kuwa mwanaccm na sitegemei kwa sababu hii ni kambi yenye kuendeleza yale ya wakoloni.
#Tukutane2020Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka mitatu hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Ujue ukweli ujinga ni wetu, yaani tunaona Mambo ya hovyo yanatendeka lkn bado tunakubali kuwa Kama mazobe. Wabunge wetu ni waoga kuliko hata raia wenyewe. Yani sijui Nani mwl wetuWanja jamaa atuue kwa maisha magumu ili akili zisogeleane.Tumeendekeza uoga sana.Mtu gani anatia njaa taifa kwa kuendesha nchi kwa kibuli na mabavu watu wanapaza sauti maisha magumu yeye anasema wote waliao ni wapiga deal
Mi ntamuombea awe mwehu akimbiage akiwa uchi akitaja taja maovu yote aliyotenda kusiwe na sindano wala minyororo ya kumdhibiti yaani unstoppable.Tuendelee kumuombeaView attachment 956849
sasa si uende moja kwa moja kwenye point kuwa tatizo lipo magogoni?
Hahahahaha! Jamaa anatafuta vyambo ee?Kwahiyo unatutanguliza ili tuseme jiwe ndo tatizo??
Yaani ningekua ni mimi kocha nisingepokea tule tuhela, mtu gani amejaa masimango nafikiri ndiye aliyeleta nuksi hivi angetoa billions kadhaa si angetoka na gobole kuwalipua? Haaa!Bila kusahau timu ya taifa pia alitia gundu tukachezea kichapo.
Hapa ndo wa Tz wengi wasipopajua. Lau kama wote tungekuwa na akili za kumuelewa jamaa, Hakuna mwananchi angempa sapoti kutoa yale mapandikizi yake na maroboti ya CCMMbele ya camera jiwe hujifanya ni kiongozi wa wanyonge ila nyuma ya pazia anatoa maagizo ya kuumiza wananchi
Going to hell.We are on the lait traki
Acha kisirani ngoga muhuri tuwahiWanja jamaa atuue kwa maisha magumu ili akili zisogeleane.Tumeendekeza uoga sana.Mtu gani anatia njaa taifa kwa kuendesha nchi kwa kibuli na mabavu watu wanapaza sauti maisha magumu yeye anasema wote waliao ni wapiga deal