Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambeba
 
Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambeba
Uliwahi soma hesabu za permutation na combination??
 
Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambeba
Kila mtumishi akishawishi watu watano yaani baba, mama, mke/mme, watoto, ndugu, jamaa na marafiki ccm itakufa kifo kibaya sana.
 
Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Walioko kazi wamekosa mishahara, hawalipwi overtime, au nini ?! Chuki yao inaanzia wapi ? Hao watu wanafanya kazi gani ? Hiyo research umefanya wapi ?
Daah....hawa akina mdude wanachosha sana !
 
Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
PLO Lumumba.
Jamaa anamkubali sana JPM.
Tafuta JK unywee !
 
Ccm will fall but not today not tomorrow like what other people say. Ccm will fall when the people decide to take it away. Vyama vya upinzani vilivyopo havitaweza nadhani kila mtu anayo majibu
 
Siku watanzania wakiamua ccm watatoka tu ,watu wakichoka huwa hawaambiwi cha kufanya hufanya wenyewe ,umeona Sudan unafikiri waliambiwa na nani kumtoa Albashir .
Mtaishia kupiga mifano tuu ! Kwani si mlitaka kumuweka Ikulu Lowassa, akili zenu hazina akili kabisaa
 
Mimi takua wa kwanza kufanya ushawishi wa nyumba kwa nyumba kumkataa JPM kwenye hili.
 
Akiwapigia kura hao wengine unao wajua wewe watamletea chakula mezani !?
Una upumbavu mwingi sana
Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Labda tuna laana.. Maana watumishi wa umma na vijana wasio na na ajira peke yao wakipiga kura wana uwezo wa kuiweka Ccm likizo isiyo na malipo.
Utakuta kijana graduate ana gongea jero lakini anaipigia Ccm debe. Wakati hana uhakika wa mlo hata mmoja..
 
Vilio vyote walivyolia wakulima watumishi wananchi wakawaida atajitetea kwamba aliwajengea fly over ya tazara na ndege uuuuuuuuuwiiiiuuuuuu

Imagine baba yako mzazi ambae hakukusomesha miaka ya 80 halafu unamuuliza Leo 2019 hivi baba kwanini hukunipeleka shule na bado ukamtesa mama?

Libaba lako linakujibu mwanangu sikukusomesha na mama yako aliteseka ili

1.ninunue kombi
2.ninunue taa ya chemli
3.ninunue jiko LA stovu

Nk

Anyway tunaanza kujifunza umuhimu wa kupigania madaraka maana yana athiri yana athari na kuacha taathira!!!
 
Jamani Huyo alisukumizwa ,ila kutoka ndio hataki pamoja na kusukumizwa na temu ya pili anaitaka kwa nguvu kubwa kweli ,hajui anakoenda wala anakotoka ,full mikurupuko ,hatumii utaalamu yeye ni ubabe tu na kutapanya Mali ya umma ,ki uhalisia alifaa kuwa nyapara ,hataki ushauri yeye anajua kika kitu .Ana roho mbaya sana .
 
Nchi imerudi nyuma kwa kila kitu na kwakuwa alitamani kuwa igp basi next term 20-25 awe igp chini ya lisu au membe!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom