linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambebaHuyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Uliwahi soma hesabu za permutation na combination??Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambeba
Kila mtumishi akishawishi watu watano yaani baba, mama, mke/mme, watoto, ndugu, jamaa na marafiki ccm itakufa kifo kibaya sana.Jiwe kwa ujuaji wake hana wasiwasi na watumishi wa uma Laki tano na nusu hata wasipompigia kura anajua atapata tu... Amesahau kuna wanaoumia ndani kwa ndani. Time na majeshi yanambeba
Hapana mkuuUliwahi soma hesabu za permutation na combination??
Walioko kazi wamekosa mishahara, hawalipwi overtime, au nini ?! Chuki yao inaanzia wapi ? Hao watu wanafanya kazi gani ? Hiyo research umefanya wapi ?Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
PLO Lumumba.Huyu mzee 2020, atalinda vituo vya uchaguzi na vifaru, maana kama waliopo kazini wanamchukia hivi, je wale walio graduate tangu 2016 na wapo tu mtaani bila ajira madhara yake anayaona? au nao ni wapiga dili? au anafikiri hata wazazi wa hao vijana wanafurahia kuwaona vijana wao wakiwa nyumbani bila shughuli? stay tuned 2020...... loading.
Kila mtumishi akishawishi watu watano yaani baba, mama, mke/mme, watoto, ndugu, jamaa na marafiki ccm itakufa kifo kibaya sana.
Mtaishia kupiga mifano tuu ! Kwani si mlitaka kumuweka Ikulu Lowassa, akili zenu hazina akili kabisaaSiku watanzania wakiamua ccm watatoka tu ,watu wakichoka huwa hawaambiwi cha kufanya hufanya wenyewe ,umeona Sudan unafikiri waliambiwa na nani kumtoa Albashir .
Mlihama kwa Lowassa !? Maana aliunda 'mkoa wa wasomi undergraduate' mkawa mnapiga ukuwadi tu.Graduates tupo nyuma ya MEMBE 2020
Ulipima nini !?Atauwa watu wengi sana sababu hakubaliki hata kidogo Walahi majanga tuu yeye
Sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana. Labda tuna laana.. Maana watumishi wa umma na vijana wasio na na ajira peke yao wakipiga kura wana uwezo wa kuiweka Ccm likizo isiyo na malipo.
Utakuta kijana graduate ana gongea jero lakini anaipigia Ccm debe. Wakati hana uhakika wa mlo hata mmoja..
Hizi ngonjera za nendeni mkajiajiri huwa hamji nazo wakati wa kampeniNendeni mkajiajiri hizi ndoto za kuwa hakubaliki na mnaona uwanja wa Taifa ndugu zetu Waislamu wamemkubali nyie ni nani hasa.
Hizi ngonjera za nendeni mkajiajiri huwa hamji nazo wakati wa kampeniNendeni mkajiajiri hizi ndoto za kuwa hakubaliki na mnaona uwanja wa Taifa ndugu zetu Waislamu wamemkubali nyie ni nani hasa.
Hizi ngonjera za nendeni mkajiajiri huwa hamji nazo wakati wa kampeni