Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nataka ufananishe matukio.
Kunyang,anya Mali za wananchi eti kisa nyingi sio ujambazi,?!
Kutokuruhusu wananchi wa kawaida kutumia mitumba sio unyanyasaji huo mpk useme eti anaheshimu wananchi?!
Embu tumia akili wewe.
Kufunga BibI Titi na Abdul Sykes sio unyanyasaji huo wa wananchi tena kwa maslahi yake binafsi!?
Kakae utafakari wenye akili timamu wanamuimba mdomo ila kifuani hawamkubali kinyama
 
Una ufinyu wa akili wewe! Unayaona ya Baba wa Taifa lakini mauaji yanayofanywa na huyo nduli wa Ikulu huyaoni. Jiulize kwanini Nyerere anaenziwa na Watanzania hadi hii leo? Kwanini Nyerere na maovu yake yote bado anapendwa na Watanzania na walimwengu wengine ukilinganisha waliokuja baada yake? Mwalimu aling'atuka 1985 miaka 34 iliyopita alifariki 1999 miaka 20 iliyopita lakini hadi hii leo anathaminiwa na kuenziwa kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na huyo Mwendawazimu. Bi Titi hakufanya lolote kwa akili yako finyu bali Mwalimu aliamua kumtia ndani tu bila kosa lolote lile!

Kuna mshipa wa ufahamu katika ubongo wako una mushkeli mkubwa sana, wahi Mirembe kabla hali haijawa mbaya. Eti kutoruhusu kutumia mitumba ni unanyanyasaji hahahahahahahah Ukistaajabau ya nanihii .......

 
Hizo ni fikra zako ww uliyepumbazwa.
Wanaohadhimisha kifo chake ni wajinga wa ccm km wewe.
Hukuuliza majority ya wananchi kuhusu hilo ujue wanavyomponda kutoka moyoni.
Una matatizo ww.
Sio bure.
Usichukue mtazamo wa mi ccm michache ukajumuisha na mtazamo wa wananchi wengine ambao wanaikumbuka njaa ya funga funga na kuvaa viroba.
Nimekwambia uoanishe matukio unatoa povu.
Ukweli haupingiki siku zote.
 

Copy Na paste Na yatendekayo
 
Wewe ni juha usiyejua chochote zaidi ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Peleka upumbavu wako kwa wapumbavu wenzio wanaojaribu kumfananisha huyo mwendawazimu na Nyerere.

 
Sawa baba uliyepumbazwa na wana ccm wenzako.
Ila mm siwez muita huyu baba wa Taifa.
Kiongozi bora Africa kuwahi kutokea ni Muammar Gaddafi na Madiba tyuuu hakuna mwingine.
Endelea kumshabikia aliyeleta njaa ya funga funga na kuifanya Tz kuwa km Turkana miaka ya 1970s
Wewe ni juha usiyejua chochote zaidi ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Peleka upumbavu wako kwa wapumbavu wenzio wanaojaribu kumfananisha huyo mwendawazimu na Nyerere.
 
Na hili ndilo linatumaliza watz wengi.
Kukumbatia upumbaziko pasi na kutaka kuchanganua ukweli.
Baki na imani yako na endelea kumshangilia bab wako wa taifa ila walio zama hizo huyu jamaa hawamshabikii km udaivyo bali ni wanasiasa wana ccm wenzake ndio wanamshabikia.
Wewe ni juha usiyejua chochote zaidi ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Peleka upumbavu wako kwa wapumbavu wenzio wanaojaribu kumfananisha huyo mwendawazimu na Nyerere.
 
Angalia jinsi ulivyo juha! Mie na maccm wapi na wapi!!! 😳😳😳😳 Wewe kama humuenzi Nyerere kwa chuki zako binafsi utajijua, lakini hutazuia Watanzania kwa mamilioni kuendelea kumthamini na kumuenzi kwa uongozi wake pamoja na makosa aliyoyafanya ambayo hata yeye mwenyewe aliyakubali hadharani.

 
Hakuna kiongozi mpumbavu kama Gaddafi. Wewe unafikiri nchi ni ya kwako? Unataka utawale mpaka ufe madarakani kisha uwape watoto wako kwa kisingizio umeleta maendeleo kwenye nchi yako? Alivyo mjinga kang'ang'ania madaraka. Angeachia madaraka kwa amani angepungukiwa nini? Halafu visingizo wanampa marekani. Kama mtu amekushawishi umuue ndugu yako na kweli ukamuua hapo mpumbavu nani? Uliyemuua ndugu yako ndiyo mpumbavu,
Madiba naye msenge tu utakaaje madarakani miaka 27 madarakani? Wenzetu mbona wanapokezana vijiti bila kung'ang'ania madaraka?
 
Kaka baki na imani yako.
Ila hukukaa na wazee uone wanavyomponda huyo jamaa.
Usichukue mtazamo wako ukaunganisha na mtazamo wa watanzania wengi unafeli.
Kila mtanzania ukimuuliza rais yupi unataka arudi madarakani bila wasi wanamtaja Ally Hassan Mwinyi.
Wanasiasa wa ccm na ww ndio mnamshabikia sana.
Ila wananchi wazee na vijana ambao walipitia uongozi wa Mwinyi.
Ukiwauliza lazma wakwambie bila uoga Mwinyi ni bora.
Fanya hilo anza hata kwa majirani zako.
Nyie ndio wanaharakati ambao mnatoa mitazamo pasi na kufanya research.
KWAHERI NIMEKUPA ZOEZI FANYA RESEARCH KWA WAZEE WAKO WAULIZE"KATIKA VIONGOZI WOTE MNGEPENDA RAIS GANI ARUDI MADARAKANI AU MUDA WAKE WA UONGOZI UJIRUDIE"?ASIPOTAJWA MWINYI MM NINA CHUKI BINAFSI.
KWAHERI KAFANYE HILO ZOEZI MARUMBANO STAKI TENA.
NA ACHA KUCHUKUA MTAZAMO WAKO BINAFSI NA WA CCM WENZAKO UKAULETA KUJUMUISHIA WATANZANIA WOTE.UNAFELI
 
Na wewe hukukaa na watu waliofahamiana na Nyerere kwa mazuri yake. Unajua Nyerere aliwapeleka waislamu wangapi kwenda kuhiji mecca kwa pesa yake ya mfukoni pamoja na kutokuwa tajiri wala muislamu? Unajua aliwasaidia Watanzania wangapi waliomuomba msaada wa viwanja na hata kuwajengea nyumba?

Toa upumbavu wako wa ujinga uliolishwa kuhusu Nyerere. Nyerere alifanya makosa mengi tu lakini si kwa kukusudia lakini pamoja na hayo haiondoi ukweli kwamba alikuwa kiongozi bora sana aliyejali maslahi ya nchi, aliyeipenda Tanzania na Watanzania na ambaye hakutumia wadhifa wake kujitajirisha kwa njia haramu yeye au familia yake ukilinganisha na mafisadi na majizi waliokuja nyuma yake kuanzia Mwinyi hadi huyu dhalimu wa sasa.

 
Ahsante kwa kuongea pumba kaka.
Nyerere kakaa madarakani kwa muda gani.?!
Na bora S.A ilianchwa na maendeleo.Hiyo Tanzania Nyerere kakaa miaka 34 madarakani kaleta njaa Tz basi.
Nambie unamfananisha na Madiba alyekaa miaka 27 na kuacha maendeleo S.A.?!
Then unaonekana hujui kitu na huna unalolijua.
Kasome topic ya form two inayohusiana na democracy na types of government.
Kuna Monarchy na anarchy.
Nambie Uk inaongozwa kivipi ?!
Si toka miaka ile ya Queen Elizabeth kizazi chake kinarithi na wao wanatumia constitution monarchy ktk uongozi?!
Ukija kwa Gaddafi toka miaka ya Mukhtar Libya inaongozwa kwa monarchy hivyo hivyo.
Ufalme unarithishana toka babu mpk mjukuu.
Kama ilivyo kwa UK .
Wananchi wa Gaddafi walipewa raha zote watakazo km hujui.
Kupumbazwa kidogo tu wamemgeuka mkuu wao.
Mbona miaka nenda miaka rudi UK ufalme ni wa kurithiwa?Au nao wanafanya nchi yao?!
Embu Fikiria kabla hujaandika utumbo kakaaa.
Gaddafi aliwapa Libya raha ambayo hata western nations walishindwa wapa citizens wao.Libya wanajuta na kusaga meno bora wangeacha utawala wa kifalme uendelee maana kuna njaa Turkana hapaingii
ndani.Ila ndio hvyo uchonganishi umewafanya wauane Waarabu.
Kama Gaddafi mshenzi basi Queen Elizabeth na ukoo wake nao washenzi.
 
Nimekupa kazi staki ubishani.
Ukisema hivyo hata Mkapa licha ya kuwakandamiza waislam alitoa kiwanja kijengwe chuo cha kiislam Morogoro 2005 na pia aliwapeleka waislam hijja hivyo hivyo.
Ili kujisafisha mwishoni.
Ww unasababisha njaa za makusudi kwa upuuzi wako wa fikra useme bahati mbaya?!
Tumia akili m,baba.!!!
NIMEKUPA KAZI NENDA MTAANI FANYA NILICHOKUAMBIA NDIO UNILETEE JIBU.
MAANA HATA MAGUFULI AMEGAWA SANA VIWANJA KWA KISHKI ILI VIJENGWE TAASIS ZA KIISLAM LAKINI SASA HV VIWANJA KISHKI VINAMTOKEA PUANI KWA YEYE KUKATAA KUFANYA WANACHOTAKA WAKUBWA.
SISHANGAI KWA BABA LAKO LA TAIFA.
KAMA UNASEMA KUWA ALIKUWA ANA MAKOSA YAKE REJEA POST YANGU YA #8225 USOME VEMA NDIO MAANA NIKAKWAMBIA HAKUNA ALIYE MKAMILIFU.
ILA WW UNAPENDA UBISHANI TU NA KUTAKA KUJUMUISHIA WATU WOTE ETI WANAMPENDA NYERERE !!!
KILA KIONGOZI WA CCM AMA TANU AKIFANYA UPUUZI WAKE MWISHONI ANAFANYA WEMA ILI APUMBAZE MIDANGANYIKA KAMA WW THEN AFICHE MAKOSA MENGI KWA WEMA MCHACHE.
WE WATU WALIKUWA HAWARUHUSIWI KUMILIKI TV AISEE DUUUUH YANI PINDI WAZEE WA ZAMANI WALIPOKUWA WANANIELEZEA HILI NILIBAKI NACHEKA.
SIJUI ANGEKUWA KABAKI MADARAKANI HADI SASA USINGEKUWA UNATEMA PUMBA ZAKO HUMU JF KM HIVI.
MSHUKURUNI MWINYI KARUHUSU MENGI SANA ILI WANANCHI WAJULIKANE NAO WAPO HAI.
MAANA HADI MITUMBA ILIANZA KUVALIWA KIPINDI CHAKE.
TUSIBISHANE SANA.
RAIS HUONEKANA BORA KWA ATHARI NZURI ZA MAENDELEO ALIZOZIACHA.
NATAKA UNIFAFANULIE MAENDELEO YA KIPINDI CHA NYERERE NA HATA MWINYI.
BASI THEN TUJUE NANI KAFANYA NINI.
NATAKA HAPO TU.
ELEZEA SOCIAL DEVELOPMENT YA KIPINDI CHA NYERERE NA MWINYI THEN NDIO USEME JE NANI NI BORA ZAIDI!?
 
Mkapa mwizi na fisadi wa kutupa aliyejiuzia majumba chungu nzima nchini kwa njia haramu, aliyesaini mikataba ya ralisimali kifisadi na kumneemesha yeye na familia yake, aliyeiuza NBC kwa bei ya kutupa ya million 15 pamoja na Nyerere kupinga, aliyekwiba yeye na familia yake na Daniel Yona mgodi wa Kiwira Coal Mines wenye thamani ya 70 billions wakati anauiba na kulipa milioni 7 tu kisha kusaini mkataba wa kufua umeme na Tanesco ambao angelipwa 150 millions kwa siku.

 
Ndugu yangu BAK, wanachokosea wengi ni kutuweka katika kundi moja na waliokuwa wakitetea tawala za kifisadi zilizopita lakini sasa wanalialia kwa utawala huu. Nasema na narudia, wengine wetu tunapinga utawala huu wa kifisadi wa jiwe kama tulivyopinga utawala wa kifisadi wa Mwinyi, utawala wa kifisadi wa Mkapa na utawala wa kifisadi wa Kikwete.

Tawala hizi zinapotofautiana ni katika mikakati ya kufisadi na jinsi walivyopambana kuzima sauti za watetezi wa utawala unaozingatia sheria. Kwa wale waliokuwa wana JF kwa muda mrefu kidogo bila shaka wana kumbukumbu na kauli mbiu yangu kwamba kila baada ya miaka kumi CCM itaendelea kutupatia viongozi wa hovyo kuliko waliowatangulia!

Hii ndiyo hali ambayo imetukumba sisi Watanzania kwa kipindi cha miaka zaidi ya thelathini. Mwanzoni ufisadi ulifanyika kwa woga kwa kuogopa sheria lakini hivi sasa ufisadi unafanyika kwa ubabe bila kujali sheria. Sababu ni kwamba vyombo ambavyo kwa kawaida vingetegemewa kusimamia sheria vimegeuka na kuwa vyombo vinavyosimamia uvunjifu wa sheria.

Imekuwa kawaida kwa hivi vyombo kuwashughulikia wanaotetea sheria badala ya kuwashughulikia wanaovunja sheria ama kwa kauli, maagizo au matendo. Jeshi la polisi kwa mfano, badala ya kuwalinda wananchi wanaotumia haki yao kikatiba ya uhuru wa mawazo, inatumiwa kuzuia uhuru huo na viongozi uchwara wasiopenda kukosolewa hata kama wamekosea.

Sikuwahi kumtetea Mwinyi, sikumtetea Mkapa, sikumtetea Kikwete na simtetei Magufuli kwani wote ni wapemba, wanajuana kwa vilemba! Huwezi kupanda maharage ukavuna nyanya, hapana, utavuna maharage. CCM, ni chuo cha mafisadi...katika wanaofuzu wapo webamba na wanene, warefu na wafupi, wanawake na wanaume...wote ni CCM waliofuzu katika ufisadi.

Tukishachagua hovyo, tuache kulalamika hovyo tukitendewa hovyo na kwa CCM, hovyo ndiyo taswira na sifa yake kuu. Salama yetu kama Watanzania ni kuikataa CCM na hapo ndipo tutaweza kuvuna zao tofauti.
 
Umeshawahi kunshauri kichaa...tupe uzoefu
 
Heshima yako Mkuu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Watu hilo ndilo wasilolitaka kuliona. Wanazugwa na huo uhuni wa hawa majizi na mafisadi wanaojivisha ngozi ya uongozi lakini hawana sifa hata chembe ya kuitwa viongozi ila wameweka “desturi” ya kupishana kwenye nafasi hiyo kila baada ya miaka 10. Tume ya uchaguzi ni FAKE, uchaguzi ni FAKE na huyo anayepatikana pia the so called Rais ni FAKE. Na kupitia hiki chama cha wahuni, majizi na mafisadi siioni Tanzania kupiga hatua zozote za maendeleo na kama nchi zote wafadhili na mashirika ya Kimataifa wakiamua/yakiamua kusimamisha misaada yao, hali ya maisha nchini itakuwa ni ya kutisha sana.

 
We jamaa sijui muha wa Kigoma au msukuma wa Igombe?!
Ndio maana mm nikajumlisha kusema hakuna MKAMILIFU toka post yangu ya #8225.
Toka Tz iumbwe hakuna KIONGOZI aliyenifurahisha mm hususan hao wa TANU currently CCM toka baba wao wa taifa mpk huyu jamaa.
Nimekupa kazi ndogo.
Nitajie social development zilizopatikana kipindi cha Nyerere bas.
Tusiende mbali unaulizwa uji unajibu chai vp kaka?!
Bora Madiba aliacha social development na kuwapa wananchi enough social welfare yule wakimwita baba wa taifa yafaa..
Aya nambie Maendeleo gani hata ya kijamii alioyaleta Nyerere ?!
Kwanzia TANU MPK KUJA CCM WOTE VIONGOZI WAPUUZI WASABABISHA NJAA BASI.
WEWE UNASHIKILIA BABA WA. TAIFA BABA WA TAIFA ILHALI ALIIFANYA TANZANIA 1978 KUWA TURKANA.
KUNA LIPI LA KUMSIFIA HANA TOFAUTI NA WANA CCM WENZAKE.
ILI NIMKUBALI NYERERE BABA WA TAIFA NAMBIE MIAKA 34 ALIYOKAA MADARAKANI KALETA MAENDELEO GANI HATA YA KIJAMII?!
KWAHERI
 
Una ufinyu wa akili rudi shule ukaelimike au utaendelea kuwa mpumbavu daima wa kulishwa kila ujinga na wewe kuamini ujinga huo. Ujuha wako peleka kwa majuha wenzio siyo humu, humu ni bakora tu.

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…