Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Hakuna Tume huru ya Uchaguzi Duniani labda iundwe na malaika period!Una poit mzeya. Yani ni upuuzi kuamini et Ukwa wangeweza kuitoa CCM madarakani wakati tume ya UChaguz ni branch ya CCM. Jeshi la police ni vibaraka wa CCM. Katiba nayo mbovu. Yani upinzani wasipotaka Reform katika Tume ya uchaguz na katiba. Ikuru wataisikilizia kwa jiran.
Hivi yale magari ya M4C yaliondoka na Dr slaa?Kama ccm ndiyo ishajifia kabisa ktk mikoa mbalimbali na sasa imebakia na miringoti tu
Tunaongelea kifo cha ccm wewe unakuja na ngonjera za magari ya cdm?Hivi yale magari ya M4C yaliondoka na Dr slaa?
Wewe hujielewi ni nimeisha ona kuwa hta huelewi chochote kaa na ujinga wako mwenyewe.Hakuna Tume huru ya Uchaguzi Duniani labda iundwe na malaika period!
Hapa giza tu!!Huku niliko giza tu.
..nani yuko karibu na soketi awashe taaa?? Yaani nilipo sijui ni wapi
Hiyo ndiyo mizigo iliyo jazana ndani ya ccmWewe hujielewi ni nimeisha ona kuwa hta huelewi chochote kaa na ujinga wako mwenyewe.
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Anakotupeleka hata njiani hakuna pa kununua chakula, na kuchimba dawa ni porini!Binafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo tu.
CCM haiwezi kuuawa na wapiga dili, sajilini saccos yenu Brera mfanye biashara vizuriTunaongelea kifo cha ccm wewe unakuja na ngonjera za magari ya cdm?
Ccm wenye ccm ndiyo tunajua kuwa ccm inakufaCCM haiwezi kuuawa na wapiga dili, sajilini saccos yenu Brera mfanye biashara vizuri
Magufuli atafanya yaliyoko kwenye ilani na atapimwa kwa ilani ya CCM iliyopendwa na wapiga kura wengi....waliokosa muelekeo ni wale walioahidi kwenda kuchunga ng'ombe mara wakaahidi kwenda ICC na mara waahidi kuzunguka nchi na blah blah kibao.
Wakati wa Uchaguzi tuliwaonya sana muache kuwa Nyumbu na wazungusha mikono na badala yake msikilize sera na kupima kama zinatekelezeka....
Kama mngesikiliza Ilani ya CCM kama ilivyonadiwa na Magufuli usingekuja kuuliza pumba hizi unazouliza leo hii...
Magufuli aliahidi kupambana na Rushwa(Ni mgombea pekee aliyeongelea rushwa kwa hisia na kweli)....Mwezi wa Saba Mahakama ya Mafisadi inaanza kazi
Magufuli aliahidi kushughulikia Tatizo la mikopo elimu ya juu....Wanafunzi wamepata mikopo,bodi imefumuliwa na mikopo imeanza kurejeshwa.
Magufuli aliahidi elimu bure...Imeshaanza pamoja na changamoto zake.
Magufuli aliahidi kukusanya kodi na kuondoa viushuru vya ajabu ajabu...Salamu za bandari za nchi kavu umezisikia na kama unafuatilia kuna viushuru vya kwenye kahawa vimeanza kuondolewa.
Magufuli aliahidi kupunguza msongamano Dar....Mabasi ya mwendo kasi yameanza ns hapa majuzi kitwanga anaongelea kuhusu flyover kuanza kujengwa...
Magufuli aliahidi kurejesha nidhamu kwa watumishi wasio waadilifu....unataka niongee??
Magufuli aliahidi kuwanyang'anya mashamba wale wasioendeleza ....unataka kuniambia hujamsikia lukuvi??
Hivi hujasikia kiwanda cha tiles kilichoanza kujengwa Mkuranga ?hivi hujamsikia rais akiwaasa NSSF PPF kujenga viwanda badala ya maghorofa yasio na tija??
Pale Muhimbili CT SCAN ilikuwa ni kipimo adimu sana kukipata nadhani unaweza kuona nini kinaendelea Baada ya Rais kuzuru Muhimbili consistently (Changamoto ya dawa na vifaa tiba kuwepo kwenye vituo pamoja na ujenzi wa zahanati)....universal coverage ya bima ya afya ni sheria inayonukia mwezi septemba.
kuhusu maslahi ya wafanyakazi PAYE imeanza kufikia single digit as per july this year.
Kuhusu kuulinda muungano...Rais ametuvusha salama salmini bila tone la damu kumwagika kule Zanzibar pamoja na hila zenu zilizokosa uzalendo na za kuwategemea mabwana wa kizungu.
Ndio maana narudia tena kuwaita Nyumbu au pengine ni fisi mnaofuata mzoga ulipo maana hamjielewi mshike kipi.....
Matatizo yenu ya kupokea makapi na mizoga muyamalize huko huko msituletee shombo sisi wastaarabu!!!
MAGUFULI AMEFANYA ZAIDI KABLA YA MUDA WAKE KUANZA!!