We ni mjinga wa mwisho barabara zote ni awamu zilizopita,na hawakuwahi kujitangaza na kujisifia kama ninyi walafiHizi barabara alizojenga tunazotumia huzioni?
Ingekuwa vumbi tungemlalamikia nani km sio Magufuli
Umeolewa!?Hizi barabara alizojenga tunazotumia huzioni?
Ingekuwa vumbi tungemlalamikia nani km sio Magufuli
Kwani ukiponda unaponda ili iweje kwa mfano?Nimsifie Magufuli ili watu waendelee kupigwa risasi? Nimsifie tu ata kama wakina Roma wataendelea kutekwa na wengine kupotea? Eti akanyage na kusigina katiba niendelee tu kumsifia? Nimsifie tu hata kama hana policy juu ya ajira ya wadogo zetu? nimsifie kwa lipi ambalo amelifanya halijawai kufanyika uko nyuma? Nyerere hakutoa elimu bure? vituo vya afya ujenz wa barabara,meli na ununuzi wa ndege?
Wewe nae masuala yako binafsi yakipumbavu pumbavu tu unatuletea humu ili iweje... Huko kwenu umetumiwa Polisi au Mahakama ukamsifie RAIS!??, wakati mwingine uwe unaacha kuonyesha UJINGA wako Mkuu!!!Nimsifie Magufuli ili watu waendelee kupigwa risasi? Nimsifie tu ata kama wakina Roma wataendelea kutekwa na wengine kupotea? Eti akanyage na kusigina katiba niendelee tu kumsifia? Nimsifie tu hata kama hana policy juu ya ajira ya wadogo zetu? nimsifie kwa lipi ambalo amelifanya halijawai kufanyika uko nyuma? Nyerere hakutoa elimu bure? vituo vya afya ujenz wa barabara,meli na ununuzi wa ndege?
Ili kudhihirisha kuwa hafaiKwani ukiponda unaponda ili iweje kwa mfano?
Nenda tandika ukaone bara bara pale mtaa wa Chihota Chura wanashindana kupiga mbizi mwaka mzima.Hizi barabara alizojenga tunazotumia huzioni?
Ingekuwa vumbi tungemlalamikia nani km sio Magufuli
Mkuu haya niliyoandika si rahisi kuyajua kama wewe sio mtafiti,mdadisi au msomaji mzuri.Ni personal initiative.B.Sc,MSc. au hata PhD haisaidii kuyajua haya,so inawezekana hata Rais wetu hayajui.Najua kwamba wataalamu wetu wengi hawayajui haya,ndio maana wanaingizwa mkenge kirahisi na mashirika kama IMF na World Bank.Ni muhimu viongozi wetu wakajua mikakati ya siri ya The World Shadow Government,The Elite au The New World Order(NWO) ili tusiingizwe mkenge kirahisi.Naishukuru sana serikali ya awamu ya tano,kwa ujumla it is doing a good job.Kama viongozi wa serikali ya awamu ya tano wanafahamu mikakati ya The NWO au wanayafanya wanayoyafanya by coincidence sijui.
I do not understand you,do you mean messing around with New World Order programs will result to WW III?Please elaborate.Anything that will try to mess vs these programs
The 3rd world war is at our eyes trust me