unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Nikiangalia yanayoendelea juu ya uchumi wa nchi yetu,democrasia ya nchi yetu,uhuru wa kujieleza ndani ya nchi yetu,kasi ya kunyanganya haki ya kuishi ya watanzania ilivyopewa kipaumbele awamu hii , naona aibu kwa degree waliyotoa UDOM kwa JPM unless kama mimi ni mgonjwa otherwise,watu tunajitafutia kudharauliwa wenyewe
Uhuru gani unazungumzia. Hapa una kunya. Demokrasia gani unazungumzia. Ya kutukana. Is that what we need as Tanzanians. Siasa. Are you that dumb.