Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Atoke kitini kwa hiari yake!
Ama la sivyo atakiona cha mtema kuni!! Tutamshtaki kwa kocha mchezaji "kuruona"
 
Mkuu umeandika kitu cha Maana Sana achana na wanao kukejeri
Na sio hapo tuu, Huu mfumo uliopo Wala haufai. Mfumo unampa mamlaka makumbwa Sana na haya ndio Matokeo yake

I'm on that good kush and alcohol
 
Nchi haiendeshwi kwa hisia ,wewe hufai hta kuwa mjumbe.
 
Jf Great Thinker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother/sister kwani si ni Rais ambaye ameshushwa na Mungu au? Rais wa wanyonge leo mnasema hammtaki?
 
Hilo hata sio la kushangaa ndio utajua akili za watazania vizuri,pamoja na madudu yote haya ila nakuambia huyu jamaa uchaguzi wa mwaka huu atapita kwa zaidi ya asilimia 80
Sio atashinda, Ila wataiba kura.ccm Mara ya mwisho kushinda uchaguzi ilikuwa 2005. Kuanzia hapo ni mwendo wa kuiba kura tu
 
Kwa huyu jiwe tumepata hasara kubwa sana Kama taifa . tunaelekea shimoni
 
Kalala mbele mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…