MTU na kiongozi a nchi wametutesa site, na halo sio halo kimaisha. Kiongizi jeuri hata vyama vya wafanyakazi vilishindwa kufurukuta kutetea maslahi ya wafanya kazi wao.
Vitisho nabkejeri zilitawala, kiongozi alikanyaga katiba bila kujari kwamba cheo ni dhamana. Na alijua hii ni haki kikatiba kuaongezea mshahara watumishi na sio fadhira. Kwa maksudi CCM na wabunge wake na kiongozi waandamizi walikaa kimia na kutucheka sie watumishi wakati wao wanakula vizuri na maposho mengi tuu.
Hakuna hata mbunge au waziri mmoja alijitokeza hadharani kukemea huo uwonevu. Wote walikaa kimia! Leo wanaomba kura kwenda bungeni kufanya mini ma kumtetea nani? Wakati miaka mitano iliyopita waliungana na serekali kukandamiza watanzania.
Leo wanajitokeza watanzania kukitetea CCM na kiongozi wake kisa SGR, Ndege, Bwawa la Nyerere eti kafanya makubwa sana.
Mbona alikua waziri waujenzi Barbara zilikua zinajengwa na watu maisha yalikua nafuu sana tuu. Huwezi umiza watu halafu unakuja kuomba kura tens, ili iweje? Uendele kutunyanyasa?
Watanzania wanafiki na wenye yoga, wanawaunga mkono CCM. Ubungo inter-exchange inamsadia mini was Tandahimba, au Kigoma na hata Kagera? Tujiulize!
Unafiki wakujifanya mulifurahia sana awamu ya Huyu ndugu Rais na kumuombea kura tens, inanishangaza sana. Tufike mahali tuwe wakweli na sio kushabikia tuu.
Hata angekua kiongozi wa Chadema, CUF, NCCR or any polical party akafanya tuliofanyiwa for the last 5 years, ningesema hayahaya.
Wananchi wako kwanza, tenda haki kwa watu ako kama kiongozi. Usiwadhalilishe wananchi wako. Usiwe na jeuri sana na unawaongoza. Mwisho wasiku unakua dictator.
Unafiki wa watanzania na acheni uongo na semeni nyeusi no nyeusi na blue ni blue ja sio kujifanya hamuoni na wala hamsikii kilio cha wengi.
Inavyoonekana, akirudi ndugu raid, chamtema kuni tutakiona na tusije kujutia. Namuona anahasira sana, anaona watanzania hatuna fadhila.
28/10/2020, maamuzi ni yenu! Ika tusije laumiyana! God bless Tanzania, and may Peace Reign