GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu kulikoni nini kimetokea?
Kuua watu mara kwa mara, kutukana, kudhalilisha na kupora haki na mali ya umma.Members kama hawa akina Mkaruka, Bila bila , Sky Eclat, Generalist, The Boss na johnthebaptist na Wengineo wengi tu ndiyo wanaongoza Kumchukia Hayati.
Kwani amewakoseeni nini labda tujue?
Hiyo ndio hulka ya kibinaadam yani Mungu ndivyo alivyo tuumbaHivi bila yeye....
1. Tungejua aina za Ndege?
2. Serikali ingehamia Dodoma?
3. Watanzania wangekuwa Matajiri?
4. Miradi ya Maendeleo ingejengwa?
5. Watanzania tungeheshimiana?
6. Mafisadi wangekamatwa?
7. CCM ingeendelea Kutawala?
Hebu tumuacheni Hayati JPM ajilalie tu.
Anaelekea kwenye utrilionea yeye na familia yake, sisi atatuacha palepale.
@johnthebaptist!!! hapana labda mwingine siyo huyu bwashee!!Members kama hawa akina Mkaruka, Bila bila , Sky Eclat,
Generalist, The Boss na johnthebaptist na Wengineo wengi tu ndiyo wanaongoza Kumchukia Hayati.
Kwani amewakoseeni nini labda tujue?
Hiyo ndio hulka ya kibinaadam yani Mungu ndivyo alivyo tuumba
Hata Yesu hakukubarika na Wayahudi wote wapo waliomkubali na wapo waliomkataa
Binafsi namshukuru ametuachia reli ya mwendokasi ni fadhira ambazo hazitafutika kwa watanzania hadi dunia inaisha
Alilivamia suala la sukari tena kwa kufokafoka likabuma tena kwa sukari kupanda bei 3 times mpaka leo. Amevamia suala la korosho kwa kufoka tena mpaka kuwatishia akina Nape kuwafukuza ona linavyowatesa wananchi.
Alimfukuza Mwigulu kwa kufokafoka tena kwa issue ya Lugumi sasa imeonekana Serikali ndo ilikuwa na tatizo siyo Lugumi.
Je, kwa trend hii mbeleni si kuna giza jamani! Wakuu wote wa mikoa na wilaya wamemuiga nao ni kufokafoka tu.
... mnufaika!Achana na hadithi za kitoto kama hizo.
Lwaitama ni nani nchi hii?
Wakiokuwa wasaidizi wake je?Sitaongeza neno lolote ili kutokiuka sheria ya Maudhui mitandaoni , jisomee mwenyewe .
View attachment 1749059
Aliegundua kuweka kumbukumbu kwa maandishi abarikiwe sana.Utawala wa Jombe Pombe ulikuwa ni utawala wa kishenzi sana, Ni utawala wa kijinga mnoo, ni utawala uliokuwa haujui hata unafanya nini, haukujua hata kesho kutatokea nini, haukuwa na uwezo wa kuona mbali, ilikuwa ilimradi tu panakucha na script mpya, Kauli zake hazizkuwa za kiuongozi, zilikuwa ni kauli za majivuno na ujuaji mwingi. kwa kifupi Mungu ameamu kutupa pumzi mpya.
Alafu kwa tabia zake Za kishenzi hizi still TISS na CCM walilazimisha atuongoze! Kweli sijui walituonaje watanzania hawa watu!Ukweli hakuwa mstaarabu kuanzi kwao Unawezajd kupasua kwa shoka jeneza alilo nunua dada yako kisa tu mwanamke
Wana Chato wanalijuwa hili
Alikuwa kiumbe hatari sana!!
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kamaSitaongeza neno lolote ili kutokiuka sheria ya Maudhui mitandaoni , jisomee mwenyewe .
View attachment 1749059