Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ninaamini kabisa huyu Magufuli alikuwa pandikizi wa nchi jirani aliyepewa mission ya kuiharibu Tanzania. Na inasemwa alijaza sana watu wake wa Burundi na Rwanda kwenye system huko!
Kagame pro huyo na ndio maana kagame alianza chokochoko za kufungiana mipaka na Uganda kitu ambacho kwa sasa hakitakuwepo tena
 
Unateseka sana mkuu. Mbona vingi ulivyoorodhesha muasisi ni JK? Vingine ni sera ya nchi tangu kuanzishwa kwake?
 
Nchi hii haikuwai na haitakuja kupata kiongozi mshenzi na fedhuli Kama Magufuli. Kati ya sehemu ambayo nitawalaumu milele CCM na TISS yao ni hapa , iweje walazimishe watanzania tuongozwe na mtu mshenzi Kama yule??
Kama kuna kipindi cha uongozi TISS walineemeka, ni utawala wa pombe. Wakuu wa wilaya karibu wote, wakurugenzi, wakuu wa mikoa mpaka wakuu wa idara za serikali na vyombo vya usalama ndo walichukua hao.
Zamani tuliambiwa wabeba makopo na vichaa ndo walikuwa TISS kipindi cha mchonga, zamu hii walikuwa watana shati tu.
 
Ukweli hakuwa mstaarabu kuanzi kwao Unawezajd kupasua kwa shoka jeneza alilo nunua dada yako kisa tu mwanamke
Wana Chato wanalijuwa hili
Alikuwa kiumbe hatari sana!!
Elezea vizuri tukio Hilo,weka nyama za kutosha,weka limao,tangawizi,vitunguu na nyanya.
 
Hoja dhaifu sana !
Mwenzako kaleta hoja kwa upana zaidi hata Kama ni dhaifu,
Hebu nawewe Sasa tuletee hoja zako zenye mashiko zilizojazwa nyama Kama alivyofanya mwenzako, otherwise wewe ndo utakuwa dhaifu wa Ubongo.
 
Ndio naiona hekima ya kukatazana kumsema marehemu,kwa sababu kinachoendelea ni sawa na kusikiliza kesi upande mmoja tu na kisha kutoa hukumu.
Yeye alipovamia maduka yetu ya kubadilishia fedha mbona hakutupa nafasi ya kusikiliza pande zote!!??
Katupora hela zetu na kusababisha turudi nyuma miaka kadhaa.
 
Yeye alipovamia maduka yetu ya kubadilishia fedha mbona hakutupa nafasi ya kusikiliza pande zote!!??
Katupora hela zetu na kusababisha turudi nyuma miaka kadhaa.
Mimi sizungumzii hayo mkuu jaribu kunielewa,sipo hapa kumtetea marehemu au kuzuia watu kumzungumzia tu marehemu bali nachosema ni kutoa tuhuma kwa mtu ambaye amefariki hivyo hatuwezi kusikiliza upande wake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…