haichekeshi. Haya ngojea jion ukachukue bukusaba yako.Naona jana viongozi wa ukawa walikutana na mzee kupatania bei ya cuf.
Mzee anataka kuinunua aiunganishe na chagadema
Kwani wewe unalipwa na Nani kumtetea?Kama Kikwete angekuwa amekulipa utangaze na kueneza mafanikio ya utawala wake. Hakika angedai urudishe pesa zake. Ulichokiita kuwa ni mafanikio actually ndio failures zake. Hujui kuwa Kikwete anajuta kwa wajanja kuchomeka 'madokezo' ya 'upigaji' wao katika hatuba zake za kila mwezi. Na hilo ni moja tu.
Hivi wewe hujui kuwa Rais wa nchi ni alama ya taifa? Rais wa nchi siyo mtu binafsi kama wewe au mimi tunaohangaikia maisha kwa ajili yetu wenyewe. Rais wa nchi anahangaikia watu wote wa taifa hili. Wananchi wanawajibika kumtetea dhidi ya wasiomtakia mema na/au mawaa yoyote.Kwani wewe unalipwa na Nani kumtetea?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ndio maana mkamchukuwa Lowassa kutoka CCM aje awaletee mabadiliko,nimekuhurumia baada ya kuangalia picha hii chini;
"Acha Uisome Namba Eenhe,C.C.M Ni Mbele kwa mbelee,Acha Uandamane Enheee C.C.M Mbele kwa Mbeleee"Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Binadamu yeyote mwenye ufahamu huwa anapenda ktu au kuchukia kitu kwa sababu lakini ww ujatoa hata sababu moja why unachukia serikali hii so tukueleweje???Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten