Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
mimi ni mkulima wa nyanya,nimefisadi nini?mpaka leo niuze plastiki moja ya nyanya kwa tsh1000?

Ushawahi kusikia Fisadi anakiri Fisadi? Hata Chenge au Lowassa wanakana tuhuma zao za Ufisadi pamoja na kutajwa kwao na Kamanda wa Anga!
 
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Unachanganya vitu, sema umeanza kufuatilia siasa kipindi hiki, kwa lugha nyingine wewe ni dogo eidha wa kiumri au kiakili.
 
Lati ningelijua huja yakisha tokea pole sana kija isome namba kijeimoooo
 
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Unajiita nani? Baby K? Ebwana we kalale hakuna uliloongea
 
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
una miaka mingapi?
 
Ulideki barabara...safari ijayo utawalamba matako...mjinga ni kama punda,anabebeshwa kila mzigo mzito.
 
Hauko pekee yako Mkuu, tena wengine walimfanyia kampeni huyu na kumpigia debe la nguvu sana, lakini sasa WANAJUTA!

12919772_837466583066878_5369977595504066415_n-jpg.397776


Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
 

Attachments

  • 12919772_837466583066878_5369977595504066415_n.jpg
    12919772_837466583066878_5369977595504066415_n.jpg
    9.4 KB · Views: 55
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom