Sharif
JF-Expert Member
- Mar 13, 2011
- 2,450
- 1,777
usiposhirikiana vizuri na watumishi na wafanyabiashara, na kutothamini umuhimu wao..
matokeo yake ni yale ya sukari, vila.za vinavyokuja vya elimu bure, wakurugenzi 13 kukacha kuapishwa, makameu kutaka kujiuzulu kwa kukosa ushirikiano mzuri, n.k.
eti unataka kujenga mapenzi na mtu aliejichokea nyumbani anaecheza bao na kunusa ugoro,ambaye pia analishwa na mtumishi au mfanyabiashara..
tusubiri matokeo....
matokeo yake ni yale ya sukari, vila.za vinavyokuja vya elimu bure, wakurugenzi 13 kukacha kuapishwa, makameu kutaka kujiuzulu kwa kukosa ushirikiano mzuri, n.k.
eti unataka kujenga mapenzi na mtu aliejichokea nyumbani anaecheza bao na kunusa ugoro,ambaye pia analishwa na mtumishi au mfanyabiashara..
tusubiri matokeo....