mchovu wa fikra
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 335
- 394
Habari zenu wakuu,sina dhihaka wala utani na watawala wangu ila kuna mambo naona hayako sawa katika awamu hii ya tano nchini mwetu,mambo hayo mengi yamekubikwa na neno UKOSEFU kama ifuatavyo:
1.Ukosefu wa ajira kwa vijana ambao ni wahitimu wa kada mbalimbali kutoka vyuo vikuu nchini.
2.Ukosefu wa vitabu vya hati za kusafiria nje ya nchi.
3.Ukosefu wa chanjo kwa wajawazito na watoto wachanga.
4.ukosefu wa uhuru wa habari na vyombo vyake pamoja na ukosefu wa uhuru wa kuzungumza(Freedom of speech)
5.Ukosefu/upungufu wa mizigo bandarini ambao umegubikwa na kauli kinzani nyingi.
6.Ukosefu wa soko zuri kwa ajili ya mazao ya kilimo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma tumeshuhudia mfano wa nyanya.
7.Ukosefu/Upungufu wa maombi kwa mkuu wetu wa kaya katika nyumba za ibada.
8.Ukosefu wa pesa za wanafunzi wa elimu ya juu walokwenda kufanya mafunzo kwa vitendo(IPT)
9.Ukosefu wa hekima na busara katika awamu hii katika kuyaendea mambo ya kitaifa.
10.Ukosefu wa kuali za faraja kwa wahanga na wananchi kwa ujumla bali ni kauli za maumivu na kuligawa taifa.
Mimi nimefikiri kwa harakaharaka nimepata haya kwa mwenye nayo mengine.
NB:Tujadili kwa pamoja nini kifanyike ili haya yasiendelee nchini mwetu.?
Tanzania nchi yangu nitaipenda na kuithamini kwa moyo wangu wote.
Magufuli rais wangu nitamsifia inapobidi tu tena kwa furaha na shangwe.
1.Ukosefu wa ajira kwa vijana ambao ni wahitimu wa kada mbalimbali kutoka vyuo vikuu nchini.
2.Ukosefu wa vitabu vya hati za kusafiria nje ya nchi.
3.Ukosefu wa chanjo kwa wajawazito na watoto wachanga.
4.ukosefu wa uhuru wa habari na vyombo vyake pamoja na ukosefu wa uhuru wa kuzungumza(Freedom of speech)
5.Ukosefu/upungufu wa mizigo bandarini ambao umegubikwa na kauli kinzani nyingi.
6.Ukosefu wa soko zuri kwa ajili ya mazao ya kilimo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma tumeshuhudia mfano wa nyanya.
7.Ukosefu/Upungufu wa maombi kwa mkuu wetu wa kaya katika nyumba za ibada.
8.Ukosefu wa pesa za wanafunzi wa elimu ya juu walokwenda kufanya mafunzo kwa vitendo(IPT)
9.Ukosefu wa hekima na busara katika awamu hii katika kuyaendea mambo ya kitaifa.
10.Ukosefu wa kuali za faraja kwa wahanga na wananchi kwa ujumla bali ni kauli za maumivu na kuligawa taifa.
Mimi nimefikiri kwa harakaharaka nimepata haya kwa mwenye nayo mengine.
NB:Tujadili kwa pamoja nini kifanyike ili haya yasiendelee nchini mwetu.?
Tanzania nchi yangu nitaipenda na kuithamini kwa moyo wangu wote.
Magufuli rais wangu nitamsifia inapobidi tu tena kwa furaha na shangwe.