Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten
Ww ni mvivu wakfikiri na kuufanya kazi imekula kwako
 
Mh huyu mchungi si atauwa ngombe wote atachunga nini tena!
 
13343131_1723744947880555_7667244885059349271_n-jpg.397798
 
Watu wanamchukia Mungu,itakuwa Nchi na Binaadam,
Kawaida tu,wavivu na wapiga dili lazima number muisome.
Mnaelekezwa kwa Mungu,na njia ya kwenda kwa Mungu sio nyepesi kwa kuishi kwa Ujanja Ujanja
 
Pole sana hata mwaka haujaisha unalalamika hatariiiiiii.
Karibu UKAWA huku full amani tu, mawazo yetu yametulia. Tulipo sema elimu bure, wengine wakaichukua pasipo kufanyia utafiti. Ss tullijuwa wap tutapata hela.
Hata mm naichukia sana japo kura yangu nilimpa Lowasa lkn kijani imejichokea. Haifai
 
Watu wanamchukia Mungu,itakuwa Nchi na Binaadam,
Kawaida tu,wavivu na wapiga dili lazima number muisome.
Mnaelekezwa kwa Mungu,na njia ya kwenda kwa Mungu sio nyepesi kwa kuishi kwa Ujanja Ujanja
Je, wanaosubiria ajira mpya nao utawaweka kundi gani? Unafikiri nao ni wapiga dili km ww?
 
Jaman kama kichwa kinavyojieleza, naichukia Sanaa hii sereukwala hata inachofanya sikioni. Naijutia kura yangu kama zingekuwa zinadaiwa ningeenda kuidai yangu. Ni hayo tu asanten

Hama nchi[emoji1549]
 
Siwapendi wanafiki Mimi, kura upige mwenyewe harafu uje kulialia, hukuyajua haya au. Ulitegemea kuna jipya? Acha uisome namba
 
Huyu kiumbe anakotupeleka siko kiuchumi. Hatukuwa wajinga kudeki barabara ili mwenye maono apite. Kila mtu sasa ni shahidi, na namba huwa hazidanganyi daima.

Mlio tucheka tukideki barabara tuombeni radhi kwa aibu mnayoipata sasa. Push-ups na kuongoza nchi ni kama kusubiri meli Airport.
 
Huyu kiumbe anakotupeleka siko kiuchumi. Hatukua wajinga kudeki barabara ili mwenye maono apite. Kila mtu sasa ni shahidi, na namba huwa hazidanganyi daima. Mlio tucheka tukideki barabara tuombeni radhi kwa aibu mnayoipata sasa. Push-ups na kuongoza nchi ni kama kusubiri meli Airport.
Mliemdekia barabara tulishaona utendaji wake na alieingia jengoni tulishaona utendaji wake pia hapo kabla,hata wewe ni shahidi.mchana mwema ndugu!
 
Hiv ajira mpya zinatoka lini? Kuna dogo hapa ananisumbua sana. Kila siku ananipiga mizinga.
Wakijani mwambieni mwenyekiti wenu afanye haraka hali ni mbaya sana mtaani.
Hiv lile fao la kujitoa limefikia wapi? Mweny majibu plz
 
"Sikuichagua CCM ili niteseke"

Hii ilikua ni kauli ya mwamama mmoja aliyesikika akipasa sauti kwa ukali katika mitaa ya Majengo hapa mkoani Singida, alionekana kama mtu wa kukata tamaa, hana amani na kua na jazba aliyopitiliza.Binafsi sikutaka kumuuliza ni nini kimemsibu mpaka kufikia kuyatamka maneno hayo tena kwa ukali.Nilimwangalia usoni mwake, nikajiinamia kisha nikaendelea na mizunguko yangu ya kujitaftia rizki.

Inawezekana alikwazwa na kiongozi wa CCM? Inawezekana kuna kitu aliahidiwa hakikitimia? Inawezekana ugumu wa maisha ndio umempelekea kutamka hayo? Mimi sina jibu wakuu mnaweza kunisaidia kumwelewa huyu mwanamama aliguswa na kitu gani hasa?
 
Ungemuuliza lingekuwa jambo jema sana maana huku sidhani kama unaweza kupata jibu sahihi. Hata hivyo waliposema "kuisoma namba" alifikiri ni nani? Acha aisome namba.
 
Ni dhahiri yakuwa tangia Serikali hii ichukue hatamu watumishi imekuwa ndio agenda ya maana kipaumbele cha Serikali hii ni kuwadharirisha mbele ya wananchi ndio mana utasikia dakitari amepigwa mara mwl acharazwa bakora mara oooh raia asiajiriwe Kwenye dola... Mara oooh hakuna kupanda madaraja mpaka miezi miwili mpaka sasa ni miezi 4 hakuna chochote,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom