Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwani kwenye ile miaka 10 ya Kikwete uliona nini?
Uliyaona maisha bora kwa kila Mtanzania?
Kutarajia kuona mabadiliko chini ya CCM ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.
Uliyaona maisha bora kwa kila Mtanzania?
Kutarajia kuona mabadiliko chini ya CCM ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.