Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Uchochezi
 
Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Umenijumbusha kitendo cha Mwanafalsafa Socrates kutembea na taa ya chemli mchana wa jua kali mtaani. Alipoulizwa kulikoni? Kajibu, "Katika mwanga huu wote, kuna ambao wako gizani, hawaoni"! Mwisho wa kunukuu.
 
Kwani kwenye ile miaka 10 ya Kikwete uliona nini?

Uliyaona maisha bora kwa kila Mtanzania?

Kutarajia kuona mabadiliko chini ya CCM ni sawa na kusubiri embe chini ya mwarobaini.
Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.
 
sioni zaidi ya mabango ya hapa kazi tu kila mahali,sehemu nyingine wamekaa wapiga soga wanjano na kijani lakini kuna bango la hapa kazi tu
 
Umenijumbusha kitendo cha Mwanafalsafa Socrates kutembea na taa ya chemli mchana wa jua kali mtaani. Alipoulizwa kulikoni? Kajibu, "Katika mwanga huu wote, kuna ambao wako gizani, hawaoni"! Mwisho wa kunukuu.
Iii kauli ya mwanafalsafa imenitoa machozi nikama aliwaangalia watanzania du huruma sana
 
Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.
Ndio maana mkamchukuwa Lowassa kutoka CCM aje awaletee mabadiliko,nimekuhurumia baada ya kuangalia picha hii chini;
 

Attachments

  • upload_2016-9-7_8-42-48.png
    upload_2016-9-7_8-42-48.png
    54.4 KB · Views: 34
Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?
Mabadiliko ndiyo haya uliyoyaelezea
 
Uko sahihi kabisa mkuu huwezi kuona mabadiliko chini ya watu wale wale.
Mabadiliko ni wewe mwenyewe,usiulize serikali ya awamu Hii imekufanyia nini?,jiulize umeifanyia nini serikali?,kwa kushinda unalalamika humu JF huwezi ona hata moja zuri lililofanywa na serikali.Hata kuondolewa service charge ya Tanesco,kodi za wakulima kuondolewa,watoto kulipiwa ada,madawati,kurudisha nidhamu serikalini ili pesa za maendeleo yawafikie wananchi wa chini n.k yote hayo huoni?,nyie UKAWA mmekalia kulalamika tu na kutetea mafisadi,na mnaolalamika sana ni mliozoea madili madili,huu ni wakati wa kazi.
 
Mwananchi wa kawaida amenufaika vipi hiyo mirija kubanwa? Hali ya ugumu wa maisha imepungua?
1. Wanafunzi hawakai chini.
2. Wagonjwa hawalali chini.
3. Tunaokoa 25bn kwa mwezi kutokana na wafanyakazi hewa.
4. Safari zisizo na tija zimepigwa chini kwa maslai mapana ya taifa.
5. Quality ya huduma serikalini inapanda kwa kasi ya ajabu.
6. Na mengineyo mengi sina muda wa kuyaandika kwasasa....
Anyway, ajira ya ukibaka imefutwa mpaka 2025...jifunze kuzoea
 
Wana JF.
Kuanzia Raisi John Magufuli aingie madarakani mpaka sasa sijaona chochote ambacho kimebadilika kwenye utawala wake chenye faida kwa mwananchi wa hali ya chini.
==> Demokrasia kukagandamizwa.
==>Raisi ameanza kuwagawa wananchi kwa kauli zake zinaudhi.
==>Mzunguko wa pesa umekuwa finyu na hivyo kusababisha hali kwa wananchi.
==>Kukosekana kwa ajira
==>Kupungua kwa maslahi kwa watumishi wa umma kutokana na kutopewa nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja.
==>Hospital zimeendelea kukosa dawa kwa baadhi maeneo mengi nchini.
==>Uhaba wa baadhi ya mahitaji ya wananchi kama sukari.
==> Uhuru wa vyombo vya habari kuendelea kukandamizwa
==>Hali ya uchumi kuwa mbaya baada ya mizigo kuanza kupungua bandarini .
==> Watalii kupungua kuja Tanzania baada ya kuongezewa VAT kubwa.
==>Wananchi kurundukiwa mzigo wa kodi kwa mfano VAT kwenye miamala ya kibenki na miamala kwenye kampuni za mitandao ya simu.
Kwa maoni yako kuanzia raisi aingie madarakani nini kimebadilika?

CCM ni laana kwa watanzania.
 
Mabadiliko ni wewe mwenyewe,usiulize serikali ya awamu Hii imekufanyia nini?,jiulize umeifanyia nini serikali?,kwa kushinda unalalamika humu JF huwezi ona hata moja zuri lililofanywa na serikali.Hata kuondolewa service charge ya Tanesco,kodi za wakulima kuondolewa,watoto kulipiwa ada,madawati,kurudisha nidhamu serikalini ili pesa za maendeleo yawafikie wananchi wa chini n.k yote hayo huoni?,nyie UKAWA mmekalia kulalamika tu na kutetea mafisadi,na mnaolalamika sana ni mliozoea madili madili,huu ni wakati wa kazi.
Mbona unapaniki huu mchezo hautaji hasira
Nasubiri ajira kwenye serikali ya viwanda.
 
Ndio maana mkamchukuwa Lowassa kutoka CCM aje awaletee mabadiliko,nimekuhurumia baada ya kuangalia picha hii chini;
uwe unajiongeza basi .
Mbona unaleta siasa kwenye mambo msingi ukitaka thread kuhusu Lowasa kaanzishe utajibiwa huko.
 
Mbona anaenda vizuri mimi ugimvi na mama mwenye nyumba umeisha kwa kuwa napata mshahara mapema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom