Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Bado tunaendelea na tutaendelea kuwaona wapuuzi kwa kudeki barabara kwa MTU ambaye mlitutangazia kwamba ni fisadi na baadaye kutangazia ni Malaika! Mikopo itatolewa lakini Mara hii tuko makini kuhakiki wanufaika na kuepuka mikopo hewa!
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
 
Hahaaa... Japo elimu yangu ya darasa la saba, ila nimejua ku draw a number line... Nimejua kuhusu intergers na complex number... Sasa najifunza kuhusu zile namba zenye nukta katikati sijui zinaitwa desimali na zile za sehemu pia nazisoma kwa masomo ya jioni...
 
Ni lazima abomoe kwanza ili ajenge vizuri. Nyufa zilikuwa kubwa mno. Linchi lilikuwa linajiendea endea tu. Mavyeti feki kibao! wafanyakazi hewa kibao! wanafunzi hewa kibao! ufisadi kibao kiasi kwamba kulikuwa hakuna hata haja ya mtu kustrugle, maana kufanikiwa kwa mtu kulitokana na madili na kufahamiana tu. Si elimu wala strugle ya mtu. Nchi ilikuwa imeharibika sana na ilikuwa ikikatisha tamaa watu ambao kweli wanastrugle kufanikiwa. Mtapiga mayowe sana lakini MAGUFULI anainyoosha nchi na kurudisha utaratibu. Sasa tutaheshimiana tu. Asante Baba Magufuli Mungu azidi kukutia nguvu uirejeshe heshima ya kufanya kazi kwa bidii na watu kufanikiwa kwa bidii ya kweli na si kwa madili.
Walitegemea yule fisadi wao aje awagawie hela bila kufanya kazi kwa sababu ni wavivu ndiyo maana hawaoni kazi anazozifanya JPM walizoea kila kitu ni dili tu
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Hii kweli bro na bado
 
Hili swali la hii mada sijalielewa kabisa..Jamaa anauliza, " Si mlituona wajinga kwa kudeki barabara.......". Sasa kimebadilika nini!
Haelewi kwamba bado tunawaona wajinga!!
 
Msimalize maneno! Naona unatukana mamba kabla hujavuka MTO...ukiamka asubuhi ukiona siku haiendi vizuri usikimbilie kuiba kwani huwezi jua siku itaishaje!
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Naomba kipigo kiendelee ili siku nyingine mijitu ituelewe.Toka lini ccm ikalets jambo zuri?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom