Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ni lazima abomoe kwanza ili ajenge vizuri. Nyufa zilikuwa kubwa mno. Linchi lilikuwa linajiendea endea tu. Mavyeti feki kibao! wafanyakazi hewa kibao! wanafunzi hewa kibao! ufisadi kibao kiasi kwamba kulikuwa hakuna hata haja ya mtu kustrugle, maana kufanikiwa kwa mtu kulitokana na madili na kufahamiana tu. Si elimu wala strugle ya mtu. Nchi ilikuwa imeharibika sana na ilikuwa ikikatisha tamaa watu ambao kweli wanastrugle kufanikiwa. Mtapiga mayowe sana lakini MAGUFULI anainyoosha nchi na kurudisha utaratibu. Sasa tutaheshimiana tu. Asante Baba Magufuli Mungu azidi kukutia nguvu uirejeshe heshima ya kufanya kazi kwa bidii na watu kufanikiwa kwa bidii ya kweli na si kwa madili.
 
8bd7e0e3224359d6d4d57f731174eed7.jpg
bb92b5a5c9b150ffd9bab8257e2798fa.jpg


-Nyerere-
 
Ni lazima abomoe kwanza ili ajenge vizuri. Nyufa zilikuwa kubwa mno. Linchi lilikuwa linajiendea endea tu. Mavyeti feki kibao! wafanyakazi hewa kibao! wanafunzi hewa kibao! ufisadi kibao kiasi kwamba kulikuwa hakuna hata haja ya mtu kustrugle, maana kufanikiwa kwa mtu kulitokana na madili na kufahamiana tu. Si elimu wala strugle ya mtu. Nchi ilikuwa imeharibika sana na ilikuwa ikikatisha tamaa watu ambao kweli wanastrugle kufanikiwa. Mtapiga mayowe sana lakini MAGUFULI anainyoosha nchi na kurudisha utaratibu. Sasa tutaheshimiana tu. Asante Baba Magufuli Mungu azidi kukutia nguvu uirejeshe heshima ya kufanya kazi kwa bidii na watu kufanikiwa kwa bidii ya kweli na si kwa madili.
sasa kunyosha nchi kusababishe wanafunzi wakose mikopo?
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi

Unafikiri.mlikuwa Mnadeki mkiwa wazima?
Mliingizwa kingi ndio maana tuliwapinga kwa nguvu zote.
Yako wapi mazingaombwe ya kupanda daladala kwenda chanika?
Yu wapi mwokozi aliyeenda Tandale?

Hahahahahaha ogopa sanaa
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Dah...ni vigumu sana kuwaachia nchi wapiga dili/mafisadi
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Umesahau Kupunguza watumishi hewa,kununua ndege ,ujenzi wa reli ya kati pia kwa SGR ..nk
Sawa mdeki barabara
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], mkuu umenichekesha sana, bila shaka mwaka 2020 watajiunga nanyi kupiga deki
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Huna lolote!
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Utasikia saut ikijibu......"haya matatizo hayaletwi Na serikali ya chichieeeeeemu"""""

Jibu rahis kwa maswali magumu
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi

Mara hakuna kuhudhuria kilele cha Mwenge. Hela mliyoipangia bajeti mwaka mzima, sasa hivi udenda unawatoka. RUDISHENI
 
  1. Wenzio wanajenga mnara wa mpiga pushapu.
  2. Wafuasi wake wanadai makoo na vidole vinaumia mana nguvu wanayotumia na mambo anayoyatenda ni tofauti.
  3. Mstaafu mwingine anamfananisha na tembo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom