Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Wote walewale tu.
Mbowe,Msigwa,Lema na Lissu walivyomuita Lowasa fisadi nyumbu za chadema walishangilia,Mbowe alivyomteua fisadi Lowasa kuwa mgombea wa Chadema nyumbu za Mbowe zikashangilia .
 
Wote walewale tu.
Mbowe,Msigwa,Lema na Lissu walivyomuita Lowasa fisadi nyumbu za chadema walishangilia,Mbowe alivyomteua fisadi Lowasa kuwa mgombea wa Chadema nyumbu za Mbowe zikashangilia .
Hayo ni mambo ya siasa kwani mh jpm hufanya shughuli zake kwa mtindo wa siasa?
 
Wote walewale tu.
Mbowe,Msigwa,Lema na Lissu walivyomuita Lowasa fisadi nyumbu za chadema walishangilia,Mbowe alivyomteua fisadi Lowasa kuwa mgombea wa Chadema nyumbu za Mbowe zikashangilia .


Hii ifungulie thread yake
 
Ni kweli wote ni wale wale hata ukiangalia
Undani viongoz wakitoka ccm wanaenda chadema wakitoka chadema wanurudi ccm hawa ni wamoja ndio maana akili zina fanana
 
Habari zenu wakuu,sina dhihaka wala utani na watawala wangu ila kuna mambo naona hayako sawa katika awamu hii ya tano nchini mwetu,mambo hayo mengi yamekubikwa na neno UKOSEFU kama ifuatavyo:
1.Ukosefu wa ajira kwa vijana ambao ni wahitimu wa kada mbalimbali kutoka vyuo vikuu nchini.
2.Ukosefu wa vitabu vya hati za kusafiria nje ya nchi.
3.Ukosefu wa chanjo kwa wajawazito na watoto wachanga.
4.ukosefu wa uhuru wa habari na vyombo vyake pamoja na ukosefu wa uhuru wa kuzungumza(Freedom of speech)
5.Ukosefu/upungufu wa mizigo bandarini ambao umegubikwa na kauli kinzani nyingi.
6.Ukosefu wa soko zuri kwa ajili ya mazao ya kilimo tofauti na ilivyokuwa huko nyuma tumeshuhudia mfano wa nyanya.
7.Ukosefu/Upungufu wa maombi kwa mkuu wetu wa kaya katika nyumba za ibada.
8.Ukosefu wa pesa za wanafunzi wa elimu ya juu walokwenda kufanya mafunzo kwa vitendo(IPT)
9.Ukosefu wa hekima na busara katika awamu hii katika kuyaendea mambo ya kitaifa.
10.Ukosefu wa kuali za faraja kwa wahanga na wananchi kwa ujumla bali ni kauli za maumivu na kuligawa taifa.
Mimi nimefikiri kwa harakaharaka nimepata haya kwa mwenye nayo mengine.
NB:Tujadili kwa pamoja nini kifanyike ili haya yasiendelee nchini mwetu.?
Tanzania nchi yangu nitaipenda na kuithamini kwa moyo wangu wote.
Magufuli rais wangu nitamsifia inapobidi tu tena kwa furaha na shangwe.
Ukosefu wa akili. Katika watu 4 mmoja amepungukiwa akili.
Ni dhahiri yakuwa tangia Serikali hii ichukue hatamu watumishi imekuwa ndio agenda ya maana kipaumbele cha Serikali hii ni kuwadharirisha mbele ya wananchi ndio mana utasikia dakitari amepigwa mara mwl acharazwa bakora mara oooh raia asiajiriwe Kwenye dola... Mara oooh hakuna kupanda madaraja mpaka miezi miwili mpaka sasa ni miezi 4 hakuna chochote,
 
Vema mtumishi mwema umesema ukweli tena mawazo yako siyakuyabeza mwenyeww najua rais wangu anania ya dhati yakutukomboa wanyonge ila hajui aanzie wapi na aishie wapi.
Kweli lazima ajishushe na akubari kushauriwa lasivyo nikama tumeanza kumchoka.
Hata hizi kesi za watu kubambikiwa ni mfano tosha kabisa.
Hizi suala la diwani wa sumbawanga litazameni kwa makini ni ful siasa na huku familia zikiteseka huku watu wakitaka sifa kutoka kwa mkuu wa kaya.
 
Kwani Mh Mwinyi. Mh Mkapa Mh Kikwette. Walitupeleka wapi? Huko huko ndiko anakotupeleka. Wezi tu ndio awajui tunakwenda wapi. Waliozoea kuiba wanatafuta njia ya kumlanisha JPM. Wacheni hizo kwanza. Kwa miaka miwili.
 
Nchi inaelekea ktk kujenga umoja wa kitaifa bila kubagua dini, ukabila, ukanda wa maeneo. Ndiyo kauli ktk majukwaa kwenye kampeni za uchaguzi mwaka jana.
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?

Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Muulize Mama'ko nyumbani atak ujibu vzr
 
Subiri tarehe 1.9.2020 Wazir mkuu akihamia rasmi Dodoma ndo utajua wapi Jpm alitaka kutupeleka kwa SAS HV endelea tu kuisoma namba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom