Hivi uhalisia ni kuwa na MIHEWA kila mahali. Wanafunzi hewa, mikopo hewa, wafanyakazi hewa, biashara za madili na ukwepaji kodi.hii ni hoja dhaifu sn. na inapendwa na watetezi wanaopingana na uhalisia.
HAKUNA nchi ya hivyo mkuu ya kukupatia hivyo vyote.......Yaani LOWASSA ANGEKUWA ni RAISI wa NCHI HII ndio yangekuwa ni majanga kabsa.....Maana uo mtandao wake ingekuwa balaa afu bado akutane na CHADEMA aSili na WALE chadema WAAMIAJi NA SO CALLED ukawa unafikiri nchi i getawalika bhasi....bORA HATA YA HUYU aliyepo anaonyesha dhamira ya DHATI ya KUIVUSHA nchii hii....JAPO na yeye ni BINADAMU na HAWEZI akawa mtimilifu wa kumridhisha kila MTULeo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Usisahau kumuuliza na zile mil 50 kila kijiji. Au nazo zimefichwa!!!!?ziko wapi pushups?!!,yuko wapi mwokozi wa wakulima maana mazao yao mpk leo yanatozwa kodi,zikowapi dawa hospitalin,iko wapi mikopo ya wanafunz
kwa hiyo ni hayo tu kwa tanzania yetu yanayosababisha maisha magumu,na vilio kila kona?!!Hivi uhalisia ni kuwa na MIHEWA kila mahali. Wanafunzi hewa, mikopo hewa, wafanyakazi hewa, biashara za madili na ukwepaji kodi.
Repeating decimal hahahaaaTumefikia namba gani?Au tuko namba tasa
Hahahahahasasa kunyosha nchi kusababishe wanafunzi wakose mikopo?
Impact yake kwa maskin ni ipiUmesahau Kupunguza watumishi hewa,kununua ndege ,ujenzi wa reli ya kati pia kwa SGR ..nk
Sawa mdeki barabara
Kweli Mkuuu ndio hao wanakosa dawa mahospitalini ndio hao wanalalamika wamepewa mikopo hewaHard to those waliozoea shortcut na kuishi kwa ujanjaujanja,wiziwizi ndio wanaolalamika
Enlighten me, how "anaitengeneza nchi"?Nyie ndio mnaotaka kujenga ghorofa kwa barafu. Huyu jamaa anaitengeneza nchi.
HahahahhaaaaKweli tunaisoma namba, na siyo hizo tu wengine tunazisoma 'counting numbers' ni ukosefu wa busara kutokukiri kuwa nyie mulio deki barabara mlituzidi mtazamo na fikira. Kama hali ni hii 2020 nitaungana na nyie kudeki barabara zote Tz ambayo Mhe. Edward Ngoyai Lowassa atapita yaani badala ya kuongezewa mishahara tunapunguziwa tena. Aseee ! au kwenye kampeni mkuu alisema yeye ataifyeka mishahara na kufuta ajira na kupunguza watakaopata mkopo wa elimu ya juu.
Kikwete sitakusahau mkopo tulikuwa tana apply wekundu moja(1) tu na tunapata bila kwere yoyote na tunasoma bila kwere yoyote , tunaiva tukiwa vyuoni kama vile tuko kwenye ofisi za mishara minono. Asee , ubarikiwe sana wee mzee na amini sasa unafaidi uzee wako mzuri. Watanzania wengi wenye hali ya chini na vipato vya chini naamini kila mmoja anakusema vizuri aliko maana sasa wana vilio kwenye miioyo yao.
Usipige kula Bali KuraSipigi kula tena
Hata kama Serikali ilikuwa ya CCM lakini kwa kumchagua bwana yule aende Ikulu! That was ridiculous!!Sasa kwani hiyo serikali iliyopita si ilikuwa ya ccm ¿ Kama madudu ya vyeti feki, madili, rushwa, kujuwana hivyo ndivyo ccm inavyo someka Tokea uhuru hadi leo ni kubadili misamiati tuu, ccm ni ileile na Sera yao ni ubaya ubaya tuu na shida kuongezeka.