Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hata kama Serikali ilikuwa ya CCM lakini kwa kumchagua bwana yule aende Ikulu! That was ridiculous!!
Hata kama lakini siyo kwa kumchagua Bwana yule! Lingekuwa kosa kubwa sana! Mungu ni mwema sana. Katuepusha!
Hivi uhalisia ni kuwa na MIHEWA kila mahali. Wanafunzi hewa, mikopo hewa, wafanyakazi hewa, biashara za madili na ukwepaji kodi.
 
kwa hiyo ni hayo tu kwa tanzania yetu yanayosababisha maisha magumu,na vilio kila kona?!!
ndio hayo yanayosababisha waajiriwa waliopandishwa madaraja wasimamishiwe madaraja yao?!!
ndio hayo yanayosababisha serikali isiajiri na ikiajiri isiwalipe?!!
ndio hayohayo yanayosababishwa wanafunzi wasipate mikopo?!! yapo mengine mengi hata ww unayajua.

tuache utani hili duara hupaswi kufundishwa kua katikati kuna tundu.

Wasubiri tu. wanaostahili watapata mikopo, watapandishwa madaraja na wataajiriwa. Ajira zitapatikana tu baada ya wale waliokuwa wameajiriwa kimagumashi kutimka au kutimuliwa, baada ya wanafunzi wenye vyeti feki au visivyokidhi viwango kunyimwa mikopo na kutimuliwa vyuoni. Hivi hukusikia UDOM? zaidi ya 50% ya wanafunzi waliokuwa wamedahiliwa hawakuwa na sifa. Inaonekana ndio ninyi mnaopiga mayowe humu ndani. Mtu una division 4 unalalamika MAGUFULI kakunyima mkopo wa kusoma Chuo kikuu?
Lakini pia maamuzi makubwa ya kurekebisha uozo mkubwa waliotuachia akina JK ni lazima kunaweza kutokea collateral damages. Hiyo haiwezi kuwa issue ikiwa tunachotaka kukifanya ni kurudisha heshima ya Nchi na serikali yake. Asante Mungu kwa kutupa MAGUFULI.
 
Wasubiri tu. wanaostahili watapata mikopo, watapandishwa madaraja na wataajiriwa. Ajira zitapatikana tu baada ya wale waliokuwa wameajiriwa kimagumashi kutimka au kutimuliwa, baada ya wanafunzi wenye vyeti feki au visivyokidhi viwango kunyimwa mikopo na kutimuliwa vyuoni. Hivi hukusikia UDOM? zaidi ya 50% ya wanafunzi waliokuwa wamedahiliwa hawakuwa na sifa. Inaonekana ndio ninyi mnaopiga mayowe humu ndani. Mtu una division 4 unalalamika MAGUFULI kakunyima mkopo wa kusoma Chuo kikuu?
Lakini pia maamuzi makubwa ya kurekebisha uozo mkubwa waliotuachia akina JK ni lazima kunaweza kutokea collateral damages. Hiyo haiwezi kuwa issue ikiwa tunachotaka kukifanya ni kurudisha heshima ya Nchi na serikali yake. Asante Mungu kwa kutupa MAGUFULI.
Walidahaliwa na nani?
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Hivi kwa akili zako elimu bure mpaka chuo kikuu ingewezekana??
Mtaendelea kuwa wajinga kama mnadhani ingewezekana. Pigeni deki na hewa sasa. Lowassa tulimkataa na tutaendelea kumkataa, na chadema hii tutaendelea kuipiga chini.
 
Ni lazima abomoe kwanza ili ajenge vizuri. Nyufa zilikuwa kubwa mno. Linchi lilikuwa linajiendea endea tu. Mavyeti feki kibao! wafanyakazi hewa kibao! wanafunzi hewa kibao! ufisadi kibao kiasi kwamba kulikuwa hakuna hata haja ya mtu kustrugle, maana kufanikiwa kwa mtu kulitokana na madili na kufahamiana tu. Si elimu wala strugle ya mtu. Nchi ilikuwa imeharibika sana na ilikuwa ikikatisha tamaa watu ambao kweli wanastrugle kufanikiwa. Mtapiga mayowe sana lakini MAGUFULI anainyoosha nchi na kurudisha utaratibu. Sasa tutaheshimiana tu. Asante Baba Magufuli Mungu azidi kukutia nguvu uirejeshe heshima ya kufanya kazi kwa bidii na watu kufanikiwa kwa bidii ya kweli na si kwa madili.

Watu wanatamani Slope bado ;no more free rides....hiki ndo kipindi wale wanaofanya Kazi kweli watafanikiwa.
 
Tumechoka na matumaini hewA, wafaidika ni civil servants
Civil servants wanafaidika vipi? Husikii kelele zao za madaja, uhamisho, increments, kurudishwa kazini, mikopo imesitishwa.... Wanafaidikaje?
Hata nguvu za kupiga push ups hamna tena
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Yaani nchi ingeongozwa na mtuhumiwa wa ufisadi si ingekuwa baraa kubwa, ni wewe tu mtoto wa bibi ndiye unaona maisha magumu.
 
Waliita Magufulika,hadi wazee walipiga push ups wakitegemea baada ya hapo watakutaanza kula mema ya nchi..lakin sasa nikusoma 123456789.....
Kwan huyo masai angeleta mpya gani zaidi ya upigaji tu, bora tuisome namba tu kuliko kuwapa nchi majambaz
 
Leo kelele kibao mara ooh mikopo ya Chuo hakuna!Mara bank zimesitisha kutoa mikopo kwa watumishi wa umma, mara sukar imefichwa, mara yamebakia makopo mawili ya paracetamol,.....Hadi namba zote zitasomeka kuanzia real number,natural number,complex number, .....Si mlituona wajinga, tuone push-up zitafika wapi
Nchi inakwenda sawa wewe.unadhani kila kitu kinatimia kwa wakati m1 kukufarahisheni watu kama ninyi?wewe tu hapo unaweza kuta familia yako tu inakutoa jasho afu unalalamikia serikali,panapokwama itatokea pataenda tu,ndo maisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom