Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Unaongelea vijana wapi??? Mimi ni kijana na siungi mkono vihoja vyakesikujua unazungumzia ajira tupisheni vijana sisi hatuachi kumuunga mkono daima.
Mimi sio wa bavicha na simuungi mkonoVijana wa BAVICHA labda
Vijana wa Chato.Vijana wa wapi ?
Mkuu mleta mada ameongea hoja moja nzito na ya kuzingatia. AJIRA ni muhimu hii ikipuuziwa itakuja kuisumbua serikali ya awamu ya tano. Nashauri serikali watafute namna ya kuhakiki wakati huohuo waendelee kutoa ajira vinginevyo hali itakuwa mbaya sana miezi michache ijayo. Akitokea kichaa jasiri akahamsisha maandamano ya kupinga ukosefu wa ajira anaweza kupata waunga mkono ambao ni vijana wengi mno kwa sasa. Tatizo ni kuwa wengi hawana familia(mke/mume na watoto) hivyo hawana cha kupoteza watajitoa muhanga. Mimi natumaini Seriali yetu sikivu watalifanyia kazi hili swala maana hili ni bomu linalosubiri kulipuka.Huwezi ajiri watu wapya wakati waliopo wamechanganyika watu halisi na watu hewa ni lazima usafishe kwanza uchafu uliopo ndiyo uingize nguvu mpya kazini ,hili la kuahirishwa ni swala la mda tu haitakiwi kukata tamaa na kuanza kumlaumu /kupoteza imani na Rais.
HUJITAMBUI au Bila shaka ushapotea.Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
Elimu bure fyatueni watoto watasoma bure!Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
Vijana wa BAVICHA labda
Ni wewe na mchumbako tu mliokuwa mnadeki barabara ndio hamna imani na JPM. Hivi mlilipwa vile kwa kazi ile?Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
wewe umejiajili? tuonyeshe biashara au ofisi yako ilipoAchen kupiga kelele mitandaon jalibun kujiajili hakika mtafanikiwa
Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.
BAVICHA mnayo ajira ya kudeki barabara na kuzungusha mikono! Jitokezeni kesho Saa 2 asubuhi!wewe umejiajili? tuonyeshe biashara au ofisi yako ilipo
sio kweli ni upotoshajiNi mwaka mmoja sasa umetimia tangu rais Magufuli aingie Ikulu, katika kipindi hiki yapo mazuri kadhaa amefanya na vijana wanaunga mkono lakini kila kukicha vijana wamepoteza imani na rais Magufuli kwani tangu aingie madarakani hali kwa vijana imezidi kuwa mbaya kwani ndani ya mwaka huu mmoja wa kukaa kwake Ikulu amesimamisha ajira mpya jambo linalo wagusa vijana wengi, na mpaka sasa vijana wengi hawajui kesho yake ikoje.