Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameachiwa na wameambiwa waripoti tarehe moja SeptemberDuuuuuuu nimeona habari Azam ya kukamatwa wakina Lowassa daaaa yani sijui
Kamanda usipaniki. Ni wakati kila mtu ajue mipaka yake. Hakuna uhuru usio na mipaka. Jifanye kutukana mamlaka halali tukusikie.
Hapana mkuu, muda wake uliisha.Nina uhakika hata vyombo vya usalama kama jeshi na Usalama wa Taifa hawaamini wanachokiona...ndo sababu ikabidi Mkurugenzi Othman wa TISS astaafishwe fasta!
Ukisikia paaa, ujue jipu lishatumbuka..pole ndugu, jifunze kutafuta vya kuchinja, no more kunyongaNakumbuka watu tulikuwa na imani na kikwete na kumshangilia kwa miaka miwili, lakini huyu hata mwezi tayari tushamchokaa
Hahaha hata kabla hayajahama2020 lazima makao makuu yarudi Dar..
Wewe hunipangii ni jinsi gani humu nachangia
lini uliniona nikimtukana hata Kikwete?
usiongelee hisia zako za kijinga ili kujifurahisha....
ningefurahi ungeacha kuni quote
kwa sababu ufinyu wako wa kuelewa unafanya nisipende kuku reply
Hapana mkuu, muda wake uliisha.
Grammatically, Quickly will be the correct word to use than quick.Coz he climaxes quick.
Jisemee wewe, mimi hapa kazi tuNakumbuka watu tulikuwa na imani na kikwete na kumshangilia kwa miaka miwili, lakini huyu hata mwezi tayari tushamchokaa
Ali gatecrash - viatu kama si saizi yako lazma vikupwaye au vikubane lazma utakuwa un-comfortable nadhani ndio kinachoendelea!Mbona honeymoon yake imeisha so fast?
Ha ha ha ha haMbona honeymoon yake imeisha so fast?
Neno UPINZANI unalionaje???we hujui tatizo upinzan ni kupinga yote ....hata ukawa ulianzia kwa lucifer mbingun
Ninashuhudia mafisadi yakisakwa; Ninashudia mafisadi yakitumia vyama vya siasa kumdhoofisha; Ninamshuhudia akipambana NATO bila kuchoka; Ninamshuhudia wazalendo wa nchi hii wakiwa nyuma yake katika mapambano ya kuijenga Tanzania mpya; Ninamshuhudia watu wa mataifa mbalimbali wakitamani angelikuwa rais wao; Ninamshuhudia akiendelea kufanywa 'SI UNIT' ya uongozi bora Africa; Ninamshuhudia, Ninamshuhudia ...!Ninashuhudia zaidi ukiifadhili dini fulani baada ya dini yako kutokuunga mkono katika mambo yako
Ninashuhudia Wafanyabiashara wengi kuto kukuunga mkono katika serikali yako
Ninashuhudia ukikiosa ushirikiano katika taasisi mbalimbali za jamii
Ninashuhudia mataifa tajiri na wafadhili wakuu wa nchi hii kutokupa ushirikiano
Ninashuhudia nchi ya jirani Kenya kuiteketeza EAC
Ninashuhudia uteuzi wa kikabila
Ninashuhudia kanda ya kaskazini, kusini na nyanda za juu kusini kutokuwa na imani na wewee
Ninashuhudia wahadhiri vyuoni kukuacha ufanye unavyotaka
Ninashuhudia viongozi wakubwa wastaafuu kukuacha ufanye unavyojuaa
Ninashuhudia vijana kukosa imani na wewe
Ninashuhudia hata chama chako kinamashaka na wewe
Ninashuhudia mengi sana katika awamu hii
Ninashuhudia unazidi kutengeneza maadui.
Mimi ndiyo ninayoshuhudia, sijui ninyiii waungwanaa.....