Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mwaka huu kwenye hotuba ya rais wetu alisema yeye anaendesha lorry nyuma kabeba abiria tofauti tofauti, hii safari ni ngumu kwangu sioni hope mbele, sioni uchumi utakao imarika kwa siku sa usoni, huduma za afya, elimu bora kwa vizazi vyetu,ajira kwa vijana wetu wanaomaliza vyuo vikuu! Awamu hii hakuna check and balance, ni visasi kila kukicha! Tutafika na hii safari? Ushaur wenu wadau
 
Juzi nikitoka nyumbani kwangu nilikutana na katoto ka jirani umri wa miaka miliwi kamevaa kandambili za Baba yake!!

Kwanza nilivyokaona tu nikachekea tumboni maana haikua rahisi kuvumilia, sasa nikasema ngoja nione kanatembeaje, bahati mbaya kakaniona lo! .....Nikawa nimefanya kosa maana kalitaka kukimbia kumbe Kanda mbili Ni kubwa kuliko mkuu Kaka anguka kalilia sana. Hapo nikapata maswali yafuatayo;

1. Watanzania wengi wanalalamika kuwa, tangu Magufuli amekua raisi hali imekua mbaya sana na ukiangalia kuna ukweli ndani yake...aliyekua maskini amezidi kuwa maskini..... je Uraisi umempwaya hana uwezo wa kuleta mabadiliko kisiasa, kiuchumi na hata kijamii???

2. Magufuli kama kale katoto amejua kabisa watu wana wasiwasi na uwezo wake wa kiuongozi hasa level ya Uraisi, sasa anajaribu kutumia nguvu nyingi kuwaonyesha kwamba anaweza, ndo maana katika kukikimbia kile kinachoitwa hawezi, anatumia vitisho kwa wale wanaomkosoa ...je...ataanguka kama kale katoto????

3. Swali Kwa wana JF,, hivi na ninyi mnaona Mh Kavaa kandambili za baba yake????
 
Kwani kuna raisi ambaye vilishawahi kumtosha toka atoke madarakani mwalimu Nyerere??
 
Juzi nikitoka nyumbani kwangu nilikutana na katoto ka jirani umri wa miaka miliwi kamevaa kandambili za Baba yake!!

Kwanza nilivyokaona tu nikachekea tumboni maana haikua rahisi kuvumilia, sasa nikasema ngoja nione kanatembeaje, bahati mbaya kakaniona lo! .....Nikawa nimefanya kosa maana kalitaka kukimbia kumbe Kanda mbili Ni kubwa kuliko mkuu Kaka anguka kalilia sana. Hapo nikapata maswali yafuatayo;

1. Watanzania wengi wanalalamika kuwa, tangu Magufuli amekua raisi hali imekua mbaya sana na ukiangalia kuna ukweli ndani yake...aliyekua maskini amezidi kuwa maskini..... je Uraisi umempwaya hana uwezo wa kuleta mabadiliko kisiasa, kiuchumi na hata kijamii???

2. Magufuli kama kale katoto amejua kabisa watu wana wasiwasi na uwezo wake wa kiuongozi hasa level ya Uraisi, sasa anajaribu kutumia nguvu nyingi kuwaonyesha kwamba anaweza, ndo maana katika kukikimbia kile kinachoitwa hawezi, anatumia vitisho kwa wale wanaomkosoa ...je...ataanguka kama kale katoto????

3. Swali Kwa wana JF,, hivi na ninyi mnaona Mh Kavaa kandambili za baba yake????
Unasikitisha sana, ikiwa kijana mdogo una mawazo kama mchawi ukiwa mtu mzima sijui itakuwaje?
Kwa kifupi rais JPM ni moja ya marais bora waliowai kutokea duniani na hatokaa atokee rais kama JPM tena kwa kizazi hiki kilichojaa uchu wa mali
 
Unasikitisha sana, ikiwa kijana mdogo una mawazo kama mchawi ukiwa mtu mzima sijui itakuwaje?
Kwa kifupi rais JPM ni moja ya marais bora waliowai kutokea duniani na hatokaa atokee rais kama JPM tena kwa kizazi hiki kilichojaa uchu wa mali

Sawa malaika
 
Unasikitisha sana, ikiwa kijana mdogo una mawazo kama mchawi ukiwa mtu mzima sijui itakuwaje?
Kwa kifupi rais JPM ni moja ya marais bora waliowai kutokea duniani na hatokaa atokee rais kama JPM tena kwa kizazi hiki kilichojaa uchu wa mali

Sawa malaika
 
Jumba jeupe lawalaza watu macho😀.

Mungu ndio kashampa JPM(chuma)

Mipango ya Mungu si kama ya binadamu na huwa haizuiliki.

Aliepewa kapewa na nafasi ni moja tu wengine tafuteni vya kufanya.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu mbariki Rais wetu mpendwa.
 
Unasikitisha sana, ikiwa kijana mdogo una mawazo kama mchawi ukiwa mtu mzima sijui itakuwaje?
Kwa kifupi rais JPM ni moja ya marais bora waliowai kutokea duniani na hatokaa atokee rais kama JPM tena kwa kizazi hiki kilichojaa uchu wa mali
Ubora kwa kipi ,kung'ang'ania makinikia na kuleta nidhamu ya woga maofisi ya umma ndo mnamwona rais bora,acheni kumpamba huyo mwenyekiti wenu,labda bora kwenye kupiga tumba[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Hii issue kama una kichwa cha panzi achana nayo wala usihangaike kuisoma maana hutaweza kuinyaka.imekaa kianina aina hivi mpaka usome kwa macho matatu. sasa wewe kazana kukodoa macho ndubwi.

mi nmeona nisaule tu kama itakuwa noma na iwe noma. nakumbuka kuna kipindi mdingi akiwa anabonga na wananchi wa tanzania huwa anachomekea vimistari flan flan wakati aki flow. sasa nami naona ndo wakati huu kumchomekea issues mbali mbali. sisi wana wa kitaa ndo tunafaham mitkasi inaenda huku uchiro. issue zimebana sana kiasi kwamba watu wanaanza kupoteza hata uwezo wa kusoma namba. hata namba zenyewe nasikia hamna. yaani ukicheki hivi ubaoni, unaona black tu. basi mnakusanya vyenu siku inaisha mpaka kesho. acha niteme mistari na mimi utanielewa tu kama una ubongo wa tembo.ila kama una ubongo wa inzi. kaa mbali tusije bwatukiana hapa halafu ikawa issue. na pia kumbuka mdingi atakuja kusoma hii posti. nmeandika kwa kiswahili chepesi ili namna gani vipi vijana wake wakimsomea iwe ndembela.

hii nchi kwa sasa naona kama...aaah sijui lakini maana hamchelewi kunifuatilia na magari yenu hayo. ila am sure raisI haya mambo mengine yupo cool tu sema mnadandilishia kwenye route zake humo humo kufanya yenu. tunajua nanyi mna nyongo lakini isifikie hatua hii ya kutaka kudanjishana.mbona si masela kitaa tunachimbana mikwara a kupigana beat kinoma na mwishoni tuna share hata cha ukucha? yeaah masela ndo zetu kudindishiana na mikoromo kwetu ni kawaida tu inasaidia kuondoa hewa chafu tumboni. ila haimaanishia kuwa tuna ngeda kiasi hicho mpaka kufikia kutaka kudanjishana.

hilo nmechomekea tu. huku kitaa tupo. wabishi tumegoma kabisa kurudi village..tutabanana hapa hapa hata kama wewe umeamua kwenda tonyani sisi tuache na jiji letu.siyo unataka kutubana mbavu mpaka tu.... hiyo si fair kabisa dingi.watu wanajua kile kitoto chako sokolo kina roho ya kwanini sababu kilishapiga round about yaani kilizungusha. sasa chuki zake kwa masela waliotoboa kivyao ni kubwa sana. na kina mkakati wa kuwadedisha watu flan ambao kwenye game wametusua kinoma. kuna watu wanapiga namba mpaka 7..hawa kwenye team wanaitwa viraka..acha kile kitoto kinafunga magoli ya kuvizia na kutafuniwa.

kuna watu wanasakata kabumbu na ku score wenyewe kiugumu ..unajua kuna magoli hata refa anshindwa kukataa maana hakuna sababu...hayo nimechomekea tu. hapa napima bongo za wana maana najua kuna mifyatuo flan itakuja kubwabwaja hapa kifala huku imekuja na mifuko ya rambo toka sitimbi juz juz tu.

anyway ubongo wako ukoje? mi nlikuwa nakuchomekea tu kama watu wanataka mbwai iwe mbwai tu mwaga njugu town kote ili wakidanja watu kadhaa iwe somo. kama vipi pandikiza hata viazi maeneo flan flan watu wakitaka kuvuna kiwake. inakuwa gumzo siku zinaenda tukija shtuka kunakucha na mausingizi yetu tena tuna bug mara nyingine. unajua ikitokea imetokea.

Mods tuna namna mbalimbali ya kuandika siasa. si lazima wote tuandike kwa aina moja ya uandishi. Najua kuna mtu anataka kuuondoa huu uzi Huku.


"msinifuatilie tafadhari mi natumia baiskeli ntawagundua mapema tu"
 
Baba ni baba tu hata km wewe mguu wako ni mkubwa kuliko yeye '''URAIS'' Ni Taasisi mimi nilitegemea tuwe na wakati wa mpito ''Transition period'' lakini hiyo transition period Nadhani haipo tena ''No goal setting'' when you set a goal it must be realistic ,specific and measurable ''tenable''
 
hahaha aisee bora wewe bado umekomaa huko....sii wengine tumeshindwa kukabana na hali ya huko tumeona tukisanue mbali kabisa kwa spidi ya treni ya umeme tumepitiliza adi village kabisa...

ngoja tukomae na madingi wa huku labda watatumia ubao mweupe tunaweza kuona hata namba chache chache, ila freshi GuDume mimi pamoja na ubongo wangu wa inzi dizaini kama nimekumanya kidogo.

hivi kumbe mtoto wa mshua anahasira na wale waliotusuaga darasani kisa yeye alipitia round abouy nyingi...teh teh teh!

aisee baadae...[emoji125][emoji125]
 
Shida kajamaa mdingi anakaelewa sana..kanataka ikiwezekana kibabe kabaki kenyewe town
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom