Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Jakaya atusamehe saba mara sabini. Dhaifu original yupo hekaluni sasa. Come to think of it, JK was a Saint!
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.
Hapa Duniani namchukia sana Lisu
 
Mimi uwa najiuliza kama Serikali inafanya kazi vizuri Kwanini waoga sana kukosolewa? Mimi nawaambia tutakuta madudu mengi kuliko serikali zilizopita, waache waendelee kutumia kodi zetu kuhonga wabunge na madiwani.
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.
Uhuru upi wa kuongea na kutoa maoni?, hapa unafanya Nini na hii poor thread?
 
Mim niamin kila binadamu ana uzaifu wake...Mungu fundi sana...kila mtu anapewa karama yake....Kikwete atabaki Kikwete tu na Magufuli atabaki Magufuli...
Wengi tuliona Kikwete ana mapungufu mengu..tukahisi Magufuli atakua full package...Magu kumbe anakua mzuri kwa baadhi ya maeneo kwingine chenga tu.....
Kila binadamu ana positives na negatives. Jumla yake ndiyo inamdefine kaangukia wapi. +ve au - ve balance na kiasi gani.
Mzani wa sasa ni super negative
 
Alafu wamemwaga vijana wengi kujibu hoja zao mitandaoni kwa ujira wa buku 7 ingawa wote wanatumia viungo vingine kufikiria
 
Hapo Ndo nashindwa kuwaelewa wanasiasa. Tuliaminishwa kikwete dhaifu kuliko mtu yeyote tz leo hii tunaambiwa kuna mtu dhaifu mara saba yake. Naenda zimbabwe
MKUU HUWEZI KUJUA UBORA AU UDHAIFU WA KITU KAMA UNACHO KIMOJA.
NA UHAKIKA WA 100% LEO MSOGA APAMBANISHWE NA CHATU KWENYE UCHAGUZI HATA WAIMBA MAPAMBIO WALIOPO HAPA JUKWAANI WATAMUUNGA MKONO MSOGA.
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.
Bado miaka nane ya hivi, uzuri wa huyu bwana hasikilizi kelele za wajinga, yeye kazi tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom