Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Aaaah.
Umefeli asee.
Nimekupa kazi ndogo sanaaa.
Nadhani umesoma signs of a good leadership.
Moja wapo ni bringing social development and welfare.
Mm sijakaa tu kusikiliza ya watu.
WW SI UNAJUA UMEENDA SHULE.?!
JIBU SWALI LANGU,NITAJIE SOCIAL DEVELOPMENT NA WELFARE ALIZOZILETA NYERERE ?!
UKIIJIBU HILO SWALI NITAAMINI UNAJUA NA NITAAMIN KUWA MM JUHA.
ILA USIPOJIBU BASI WW HUNA UJUALO UNALETA MAPOVU BADALA YA POINTS NA FACTS.
NIJIBU SWALI LANGU MKUU MM SITAKI MALUMBANO.
Una ufinyu wa akili rudi shule ukaelimike au utaendelea kuwa mpumbavu daima wa kulishwa kila ujinga na wewe kuamini ujinga huo. Ujuha wako peleka kwa majuha wenzio siyo humu, humu ni bakora tu.
 
Acha ujinga wako unanipa kazi miye ukiwa kama nani? Peleka ujuha wako kwa majuha wenzio siyo humu.

Aaaah.
Umefeli asee.
Nimekupa kazi ndogo sanaaa.
Nadhani umesoma signs of a good leadership.
Moja wapo ni bringing social development and welfare.
Mm sijakaa tu kusikiliza ya watu.
WW SI UNAJUA UMEENDA SHULE.?!
JIBU SWALI LANGU,NITAJIE SOCIAL DEVELOPMENT NA WELFARE ALIZOZILETA NYERERE ?!
UKIIJIBU HILO SWALI NITAAMINI UNAJUA NA NITAAMIN KUWA MM JUHA.
ILA USIPOJIBU BASI WW HUNA UJUALO UNALETA MAPOVU BADALA YA POINTS NA FACTS.
NIJIBU SWALI LANGU MKUU MM SITAKI MALUMBANO.
 
TANZANIA HAIKUWAHI KUWA NA KIONGOZI BORA.
NA MOJA WAPO YA SIFA YA KIONGOZI BORA NI KULETA MAENDELEO YA KIJAMII NA KIUCHUMI.
BASI NIKUPUNGUZIE KAZI,NITAJIE MAENDELEO YA KIJAMII ALIYOYALETA NYERERE.
UNAJUA HAKUNA NDIO MAANA BADALA YA KULETA MAJIBU WALETA MAPOVU.
NIJIBU SWALI HILO.
Una ufinyu wa akili rudi shule ukaelimike au utaendelea kuwa mpumbavu daima wa kulishwa kila ujinga na wewe kuamini ujinga huo. Ujuha wako peleka kwa majuha wenzio siyo humu, humu ni bakora tu.
 
Bado una akili ya kushikiwa siku ukitia akili na utaelewa tu. Ni hasara kubwa nchi kuwa na wapumbavu kama wewe.,

TANZANIA HAIKUWAHI KUWA NA KIONGOZI BORA.
NA MOJA WAPO YA SIFA YA KIONGOZI BORA NI KULETA MAENDELEO YA KIJAMII NA KIUCHUMI.
BASI NIKUPUNGUZIE KAZI,NITAJIE MAENDELEO YA KIJAMII ALIYOYALETA NYERERE.
UNAJUA HAKUNA NDIO MAANA BADALA YA KULETA MAJIBU WALETA MAPOVU.
NIJIBU SWALI HILO.
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA NILIJUA TU KWAMBA UKWELI NI KWAMBA HAKUNA MAENDELEO YA KIJAMII NYERERE ALIOYALETA NDIO MAANA WASHINDWA KUNIJIBU.
KWAHERI BHANA.
USIPENDE KUMEZA TU CIVIC AMA GENERAL STUDIES YA ADVANCED LEVEL.
FANYIA KAZI PIA HIYO ELIMU KAKA.
KWAHERI USHASHINDWA NAONA UNATOA MAPOVU TYU.
Acha ujinga wako unanipa kazi miye ukiwa kama nani? Peleka ujuha wako kwa majuha wenzio siyo humu.
 
Bado una akili ya kushikiwa siku ukitia akili na utaelewa tu. Ni hasara kubwa nchi kuwa na wapumbavu kama wewe.,
MIMI SIO MZAWA WA HAPA KAKA.
LAKINI NIMESOMA NA KUOANISHA SIGNS OF GOOD LEADERSHIP HAKUNA KIONGOZI YEYOTE TOKA NYERERE HADI SASA ALIYE NAZO.
EMBU ACHA KASUMBA KAA TUMIA AKILI.
WATU KAMA WEWE MLIOJAA KASUMBA HAMFAI KUPEWA HATA NCHI.
MTAENDESHA NCHI KWA MAZOEA YA VIONGOZI WENU WA NYUMA AMBAO HAMNA WALICHOKIFANYA BADALA YA KUTUMIA VISION TOFAUT.
SIKUSHANGAI POLE SANA LAKINI.
ENDELEA KUTOA MAPOVU
 
MADIBA K
Hakuna kiongozi mpumbavu kama Gaddafi. Wewe unafikiri nchi ni ya kwako? Unataka utawale mpaka ufe madarakani kisha uwape watoto wako kwa kisingizio umeleta maendeleo kwenye nchi yako? Alivyo mjinga kang'ang'ania madaraka. Angeachia madaraka kwa amani angepungukiwa nini? Halafu visingizo wanampa marekani. Kama mtu amekushawishi umuue ndugu yako na kweli ukamuua hapo mpumbavu nani? Uliyemuua ndugu yako ndiyo mpumbavu,
Madiba naye msenge tu utakaaje madarakani miaka 27 madarakani? Wenzetu mbona wanapokezana vijiti bila kung'ang'ania madaraka?
MADIBA kakaa madarakani miaka 27!!!!!!!?
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?

Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Jamaa kwa nini 2016 uliamua kuwazia hili suala?
 
Jf, The home of Great Thinkers takes lead and others follow.

Huyu Mpk alienda mbali sana. Ni katika kujenga.
 
Muulize jamaa yako madaraka gani.
Naona kazungumzia miaka ya Madiba kukaa jela ambayo ni miaka 27 na kuropoka eti Madiba alikaa madarakani miaka 27.
Usimlaumu hakujua mkuu.
madaraka gani labda mnazungumzia?
 
We jamaa sijui muha wa Kigoma au msukuma wa Igombe?!
Ndio maana mm nikajumlisha kusema hakuna MKAMILIFU toka post yangu ya #8225.
Toka Tz iumbwe hakuna KIONGOZI aliyenifurahisha mm hususan hao wa TANU currently CCM toka baba wao wa taifa mpk huyu jamaa.
Nimekupa kazi ndogo.
Nitajie social development zilizopatikana kipindi cha Nyerere bas.
Tusiende mbali unaulizwa uji unajibu chai vp kaka?!
Bora Madiba aliacha social development na kuwapa wananchi enough social welfare yule wakimwita baba wa taifa yafaa..
Aya nambie Maendeleo gani hata ya kijamii alioyaleta Nyerere ?!
Kwanzia TANU MPK KUJA CCM WOTE VIONGOZI WAPUUZI WASABABISHA NJAA BASI.
WEWE UNASHIKILIA BABA WA. TAIFA BABA WA TAIFA ILHALI ALIIFANYA TANZANIA 1978 KUWA TURKANA.
KUNA LIPI LA KUMSIFIA HANA TOFAUTI NA WANA CCM WENZAKE.
ILI NIMKUBALI NYERERE BABA WA TAIFA NAMBIE MIAKA 34 ALIYOKAA MADARAKANI KALETA MAENDELEO GANI HATA YA KIJAMII?!
KWAHERI
Kaka unachuki mbaya sana dhidi ya Nyerere... na hii inatokana na story za wazee wako....

Hivi hao wazee wako ndio waliokuambia Nyerere aliitawala Tanzania kwa miaka 34? Rudi tena kawaulize Urais wake aliupata mwaka gani na Aling'atuka mwaka gani? Hivi ni kwanini pamoja na kuketishwa chini kupandikiziwa hizo chuki zilizokujaeni kwa Nyerere.. inawawiaje ngumu kutumia ubongo mliopewa na Mwenyezi Mungu?

BACK TANGANYIKA
 
Sikupandikizwa chuki mm.
Toka awe first prime minister 1961-62 kutawazwa kuwa president of Tanganyika.
1964 kuwa President of United Republic of Tanzania till 1984 anaingia mwinyi piga mahesabu.
Na mm sijapandikizwa chuki nimefuatilia kwa maoni tofaut tofauti na kuchukua signs of good leadership na kuzioanisha na utawala wa Nyerere naona nothing are going together.
Sijajazwa chuki.
Ilhali njaa ya Fungafunga still inajulikana hadi Leo in de history .
Kaka unachuki mbaya sana dhidi ya Nyerere... na hii inatokana na story za wazee wako....

Hivi hao wazee wako ndio waliokuambia Nyerere aliitawala Tanzania kwa miaka 34? Rudi tena kawaulize Urais wake aliupata mwaka gani na Aling'atuka mwaka gani? Hivi ni kwanini pamoja na kuketishwa chini kupandikiziwa hizo chuki zilizokujaeni kwa Nyerere.. inawawiaje ngumu kutumia ubongo mliopewa na Mwenyezi Mungu?

BACK TANGANYIKA
 
Moderator kama mnaweza kutoa tuzo kwa mwandishi wa uzi huu toeni tu , huyu mleta uzi huu anastahili tuzo
 
Sikupandikizwa chuki mm.
Toka awe first prime minister 1961-62 kutawazwa kuwa president of Tanganyika.
1964 kuwa President of United Republic of Tanzania till 1995 anaingia mwinyi piga mahesabu.
Na mm sijapandikizwa chuki nimefuatilia kwa maoni tofaut tofauti na kuchukua signs of good leadership na kuzioanisha na utawala wa Nyerere naona nothing are going together.
Sijajazwa chuki.
Ilhali njaa ya Fungafunga still inajulikana hadi Leo in de history .
Mwinyi ameingia madarakan mwaka gani vile!!?..hujui unachokiongea
 
Kaka unachuki mbaya sana dhidi ya Nyerere... na hii inatokana na story za wazee wako....

Hivi hao wazee wako ndio waliokuambia Nyerere aliitawala Tanzania kwa miaka 34? Rudi tena kawaulize Urais wake aliupata mwaka gani na Aling'atuka mwaka gani? Hivi ni kwanini pamoja na kuketishwa chini kupandikiziwa hizo chuki zilizokujaeni kwa Nyerere.. inawawiaje ngumu kutumia ubongo mliopewa na Mwenyezi Mungu?

BACK TANGANYIKA
Kama mm nina chuki piga mahesabu toka 1964 mpk 1984 piga mahesabu akiwa km rais wa Tanzania.Ni 20 years almost.
Aya 1962 to1964 akiwa km rais wa Tanganyika.
1961 to 1962 km prime minister.
Mkuu miaka almost kam 24.
Basi poa nipe jibu,Sifa moja wapo ya KIONGOZI ni kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
Toa maendeleo ya kiuchumi maana inaeleweka nchi ndio kwanza imetoka ktk ukoloni.
Nipe maendeleo hata ya kijamii yani social development aliyoleta Nyerere tumpe sifa ya KIONGOZI bora.
Kama mitumba yenyewe imeanza kuvaliwa sana kipindi cha Mwinyi.
Nipe jibu hapo tu.
 
Asee akili ilienda mbali ukichanganya na chuki.
Nyerere alikua rais wa Tanganyika 1962-1964.
Na akawa rais wa Tanzania 1964-1984.
Ukiongeza na miaka 1961-1962 km waziri mkuu.
Basi mkuu nilikuwa na hasira maana hamna KIONGOZI ninayempenda toka Nyerere mpk Magufuli.
Maana hakuna walilofanya hadi sasa.
Ni 20 years katawala na hakuna kilichotokea.
Mwinyi ameingia madarakan mwaka gani vile!!?..hujui unachokiongea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom