Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ccm haitaki kutoka madarakani kwa njia ya amani, tuko kimya!

Bunge live limefutwa na kuanzisha ikulu live na uteuzi live, tuko kimya.
 
This is what kills us!

Our weaknesses, their success!


You have to walk the talk, you have to demonstrate what you believe, you have to stand by your ideas for people to see and that's the way of all revolutionaries took during the independence struggles etc.

Leading by an example is showing of the way.

"Unakaanga ubuyu unataka kuwaachia wenye meno-------" 🤣
 
Lini chadema mtafanya uchaguzi wa mwenyekiti wenu na sekratarieti ya saccos yenu?
Kelele tu huku umebana pua eti katiba inavyunjwa na mpo kimya,"nonsense"

Jengeni saccos yenu
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
 
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.
Wewe ni mbumbumbu mmoja usiyejitambua, unateswa na laana ya waafrika, Rais wa hovyo kabisa ktk historia ya Tanzania eti unasema ni bora?
Tuwekee mkataba wa manunuzi ya ndege, Airport ya Chato na tuonyesh e zilipo Trilioni 2 zilizotoweka Kwenye Report ya CAG.
Tuambie alipo Azori Gwanda, Ben Saanane na Kanguye.
Laana yako tutolee hapa
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Tz inaeza ongozwa ata na kivuli, s kwa uoga huo
 
Mkuu kwani wako Kimya au wanakalishwa Kimya

1.Azory alikaa kimya?
2.Ben saanane je alikaa kimya?
3.Ngurumo yuko Kimya?
4.Zitto Yuko Kimya?
5.Je Ukimya ndo umemuweka kabendera kizuizini?
6.Fatma Karume yupo Kimya?
7.Maria Sarungi je

Kwakweli hatuko Kimya

Britannica
naunga mkono hoja mkuu kwa machozi
 
Mkuu kwani wako Kimya au wanakalishwa Kimya

1.Azory alikaa kimya?
2.Ben saanane je alikaa kimya?
3.Ngurumo yuko Kimya?
4.Zitto Yuko Kimya?
5.Je Ukimya ndo umemuweka kabendera kizuizini?
6.Fatma Karume yupo Kimya?
7.Maria Sarungi je

Kwakweli hatuko Kimya

Britannica
naunga mkono hoja mkuu kwa machozi
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!

Kwani we umeona kuna jambo linafaa litakaloonyesha kuwa hatuko kimya, tushirikishe Mkuu.
Yawezekana una hoja muhimu sana hapa ifafanue Mkuu..
 
Katiba inavunjwa... Tupo kimya!

Bunge halina tena makali... Tupo kimya!

Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!

Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!

Watu wanauawa... Tupo kimya!

Watu wanatekwa... Tupo kimya!

Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!

Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!

JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!

LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
hatuko kimya mtz wenzangu, ngoja tu, utajionea mambo hivi karibuni
 
Mitanzania mingi mijinga acha ibanwe hadi sote tuwe na akili sawa.
Mtu anakuja kwenu hamna maji anasifia kununua ndege na fly over na sgr wakati wengi wenu hamtafika Dar
Mkuu Root,
we Ulitaka watanzania wafanyeje..! Je wewe umechukua hatua gani unayoona inafaa kwa unayochukizwa badala ya kuwaita watanzania mijinga..?
 
Mkuu kwani wako Kimya au wanakalishwa Kimya

1.Azory alikaa kimya?
2.Ben saanane je alikaa kimya?
3.Ngurumo yuko Kimya?
4.Zitto Yuko Kimya?
5.Je Ukimya ndo umemuweka kabendera kizuizini?
6.Fatma Karume yupo Kimya?
7.Maria Sarungi je

Kwakweli hatuko Kimya

Britannica
Kwani wewe unaathirika Nini na hayo uliyoyataja. Wengine shida yetu maendeleo tu. Tuliibiwa sana. Walioiba ndio wapingaji kwa sasa na inaonekana wewe ni mmoja wapo. Muulize Zito Kabwe kwa nini ghorofa lake pale Dodoma haliishi.
 
Kama unaona kuna shida ni wewe,sisi tunaona Magufuli is the best President ever.Infact he is our dream President.Kama wewe hupendi Magufulization it's simple,hama nchi.Magufulization is here to stay.Mbona nchi ilipokuwa inafujwa kwenye awamu ya tatu na nne hamkusema?Sasa tumepata Rais anayejali taifa lake na kufanya mambo ya msingi,mnapiga makelele,viumbe wa ajabu sana ninyi.

Wewe unaona kinyume nyume, kuna faida ktk ununuzi wa hizo ndege au sifa pekee, kuna faida ya sgr ya mkopo inayoweza kuuza nchi? Kwa nini uwaue wenye mawazo yenye kuhoji kasoro zinazojitokeza? Mtu wa haki na kweli hawezi kufanya anayofanya huyu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom