Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Usipojua unapotoka, huwezi jua unapokwenda.
Kumbuka Uchaguzi Mkuu 2015___ zungusha mikono,,,,, zungusha,zungusha,zungushaaaaaa,,,,,,,MABADILIKOOOOOO.......LOWASAAAA......LOWASAAAAA........MABADILIKOOOOO.......
pipooooozzz,,,,,pawaaaaaaaaa
 
IMG_2963.JPG


Leo tarehe 24/November/2019 nimeenda kupiga kura kwenye serekali za mitaa ila chakustahajabisha nimekuta CCM imeshinda bila hata uchaguzi je hii ni haki kweli? Mimi ninachofahamu uchaguzi siku zote unatakiwa kuwa wa uhuru na haki tunapielekea sio pazuri kabisa jamani huu ni uonevu usio kifani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kwa ufupi hali hii ni ngumu sana kwa sasa. Wale wanaoshangilia ni ambao hawajui nchi hii ilipo, au wanatetea maslahi yao ya
 
Juhudi za 'awamu' ndiyo msamiati mpya na ambao kwa kweli nimeshindwa kuelewa ni kitu gani hasa!

Mawaziri,Watendaji mbalimbali wa Serikali na hata baadhi ya wanasiasa msemo huo kwao umekuwa ndiyo kama kifungua kinywa kwa lolote walihubirialo.

Sasa hizo juhudi za 'awamu' ya tano ndicho kitu gani hasa?
 
Jana wale madada wamechezea kichapo nyumbani lakini hawasemi ni juhudi za awamu ya tano, lakini subiri Samatta ashinde balon d'or [emoji23]
 
kufufua viwanda kuvumbua viwanda kununua airbus boeing kujenga uwanja chato burigi wasiojulikana kuuwa upinzani hakika tuna SIRI KALI mkuu yabidi upongeze juhudi za mkulu
ila kwetu bajeti ya maji kwetu kwa mwaka unanunua KIRIKU NOAH SCANIA
 
Wana maanisha awamu nyingine zilikuwa hazijafanya kitu . wao pekee ndo wamefanya kitu na wanaendelea kufanya.
 
Tunakoelekea ni kazi tu.
Tulipoanzia ni kutumbua wafanyakazi hewa na kutengeneza afya bora kwa wafanyakazi wetu na Elimu bora .
Kwa sasa tuko na kazi ya kukusanya Kodi na kuweka taratibu sahihi wa matumizi sahihi ya Kodi .
Naungana na wewe ktk ukusanyaji, Ila tuwe wazi tunakusanya za kampeni 2020
 
Aman iwe nanyi wakuu kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.

Kwanza poleni na kazi wenye kazi pia mnaoishi kwa shemeji zenu poleni na kelele za watoto wa dada zenu.

Pia akina Mario poleni sana kwa kulelewa na kupokea mikoba ya wanawake zenu wakiwa wanatoka kazini pia wakina Mario poleni sana kwa manyanyaso na masimango.

Twende moja kwa moja kwenye mada. Katika kitu ambacho Rais Magufuli kashindwa ni kwenye kuwaunganisha Watanzania wawe kitu kimoja, Rais kafeli sana kwa hilo.

Magufuli anatumia mpasuko wetu kujinufaisha yeye kisiasa, hajali umoja wetu bali anapenda utengano wetu.

Ndio maana hata akifanya mazuri kias gani watu wanachukia na taifa likipatwa na mabaya watu wanashangilia, ni kwa sababu yake yeye.

Amekuwa mwenye kauli za kebehi sana kwa watu wengine asiye na heshima wala hekima.

Inaonekana ujanani mwake alikuwa ana muomba Mungu utajili na utawala pekee hajawahi kabisa kuomba busara na hekima.

Kwa sasa taifa halina umoja kabisa kati ya mtu na mtu na wananchi walio wengi hawana furaha.

Nitaendelea badae ngoja kwanza nichape kazi.

Narudi.

LONDON BOY
 
Tukiunga sisi wapiga zumari na wapokea buku 7000 inatosha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom