aisee inahitaji ujasiri wa hali ya juu sana
unapataje ujasiri wa kumtetea mtu ambaye katurudisha nyuma hivi?
kwa kipi hasa?
maisha magumu,
ajira hakuna,
biashara ngumu
saivi kila kitu kinasajiliwa ili kitoe kodi hadi pool table!
vikodi uchwara vimeongezeka hadi kumiliki youtube channel unalipia kodi kama vile serikali ndio inamiliki Youtube!
mishahara haipandi,
demokrasia imekandamizwa
hivi kweli mtu unapata kabisa ujasiri wa kumuombea kura mtu wa hivi?
tuweni serious bana tuache utani, miaka mitano imemtosha atupishe