Anayejua rika au umri wa mshana jr

Ni mzee wa makamo! Kama miaka 60 hivi na ushee! Ni mganga maarufu wa kienyeji hapa Msata. Wasanii wote wenye majina makubwa na wanasiasa mashuhuri, humtegemea sana kwenye mambo ya kusafisha nyota.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mganga wa jadi muosha nyota za mademu anaishi tanga ana miaka 56 ila ukimuona Anava sana miwani afu amekomaa kama kaseja wa simba
 
Rika yake siijui, Ila umri wake naujua. Umri wake ni Kati ya 38-39. Chagua rika ya kumuweka hapo. Kama utataka kijana, mzee, mtoto, mvulana, msela ni wewe tu mleta uzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rika yake siijui, Ila umri wake naujua. Umri wake ni Kati ya 38-39. Chagua rika ya kumuweka hapo. Kama utataka kijana, mzee, mtoto, mvulana, msela ni wewe tu mleta uzi.
 
Uyo jamaa simwelewagi apa jukwaani kama ni kijana au mzee make kila jukwaa yupo mambo ya kitoto utamkuta uchumi siasa mpaka kwa akina harmonize tofauti na watu wengine
Huyu nae ni celebrity? Hii thready pia itambaze majukwaa tajwa
 
bana we kama hujui hadi leo kua mshana ana kimbilia 29 shauri lako

toto hiloooo tena Toto kweli nakwambia achana na ile minyama

Hata sambusa inayo kama ni kuonekana kila thread hata naniii anaonekana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
bana we kama hujui hadi leo kua mshana ana kimbilia 29 shauri lako

toto hiloooo tena Toto kweli nakwambia achana na ile minyama

Hata sambusa inayo kama ni kuonekana kila thread hata naniii anaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…