Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na ambayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.

Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.

Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??

Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
 
Kuanzia Magomeni kuelekea Mbagala wanajenga mwendokasi. Mataa ya VETA wanajenga flyover, kuna SGR inajengwa vipande mbalimbali, bwawa la umeme na Feb moja wamemaliza ujenzi wa daraja Agha Khan
 
Kuanzia Magomeni kuelekea Mbagala wanajenga mwendokasi. Mataa ya VETA wanajenga flyover, kuna SGR inajengwa vipande mbalimbali, bwawa la umeme na Feb moja wamemaliza ujenzi wa daraja Agha Khan
Hizi zilianza toka 2019
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na
mbayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.

Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.

Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??

Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
Makongo juu
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kqma.mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara an..

Ijapokuwa mimi si mshabiki wa kijani lakini juzi wakati natokea Kigoma kwenda Kampala uganga nimeona wakandarasi kuanzia Makele Kigoma mpaka Kakonko wana magari mengi yameandikwa sharkman. Ni makampuni ya wachina ila sikuwa makini sana kuyasoma sababu nilichoka sana kwa kupita kwenye njia za mchepuko lakini kwingineko sijaona
 
Kuanzia Magomeni kuelekea Mbagala wanajenga mwendokasi. Mataa ya VETA wanajenga flyover, kuna SGR inajengwa vipande mbalimbali, bwawa la umeme na Feb moja wamemaliza ujenzi wa daraja Agha Khan
Labda jamaa alitaka waache kujenga zilizokuwepo waanze nyingine! Hizi zilizobaki mbona ni mzigo tosha! Nimesikia wanataka kuendeleza Kimara -kibaha highway ifike hadi Chalinze.
 
Labda jamaa alitaka waache kujenga zilizokuwepo waanze nyingine! Hizi zilizobaki mbona ni mzigo tosha! Nimesikia wanataka kuendeleza Kimara -kibaha highway ifike hadi Chalinze.
Jambo zuri
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara...
Barabara ya tanga Pangani inajengwa. Njoo Mwangombe to Mwakidira, to Mwahako, Kirare etc utaona kazi motomoto.

Pamoja na hayo bado tunapigwa kisawasawa
 
Hizi zilianza toka 2019
Kwa hiyo hizo zilizoanza 2019 zinajengwa kwa makaratasi au inatumika pesa? Au ulitaka miradi mikubwa aliyoacha marehemu ambayo inagharimu fedha nyingi aitelekeze aanzishe ya kwake? Hata Marehemu JPM alikuta miradi inaendelea.. wajibu wake ulikjwa kumalizia aliyoikuta na kuanzisha mipya.. bahati mbaya JK hakuacha miradi mingi mikubwa ambayo haikuisha hivyo ikawa Rahisi kwa JPM kuanzisha mpya

Ila Mama Samia ameikuta miradi mingi mikibwa ambayo haina dalili ya kwisha ndiyo maana senti nyingi anayopata inakwenda huko

Hata hivyo kuna miradi mingi ameanzisha na inaendelea kufanya kazi.

Si kila kitu cha kulaumu; mama anafanya KAZI KUBWA
 
Ijapokuwa mimi si mshabiki wa kijani lakini juzi wakati natokea Kigoma kwenda Kampala uganga nimeona wakandarasi kuanzia Makele Kigoma mpaka Kakonko wana magari mengi yameandikwa sharkman. Ni makampuni ya wachina ila sikuwa makini sana kuyasoma sababu nilichoka sana kwa kupita kwenye njia za mchepuko lakini kwingineko sijaona
Kazi za ujenzi anafanya sana tu ila kurugenzi ya mawasaliano ya Shaban Kisu ilikuwa hopeless

Kukaa kimya kutosema kilichofanyika watu wanadhani labda hakuna kinachoendelea na yeye Mama Samia kujieleza mafanikio yake au anachofanya midomo mizito tofauti na Magufuli

Kinywa cha Mama Samia kizito

Mimi binafsi nilikuwa najua huyu mama hamna kitu lakini baada ya kupata taarifa zenye takwimu nikaamini kafanya makubwa mengi ila watendaji wake na yeye hawayasemi utasikia tu ohhh mama anafanya kimya kimya tofauti na mtangulizi wake Magufuli mpiga yowe kila kitu anaita press!!! Sera gani hiyo ya kimya ?eleza tu kodi za watu nini umefanya usiogope au kuona aibu .

Zuhura Yunus nadhani hili aliangalie akutane mara kwa mara na waandishi wa habari kuwaeleza what is going on so far aliyofanya Mama Samia

Mama Samia anasifiwa tu kwa madarasa tu si kweli na yenyewe anasifiwa sababu ya Ummy Mwalimu alikuwa ndiye aongea mara kwa mara kuwa mama kajenga madarasa nchi nzimav public ndio ikapata information

Mawaziri wengine igeni Ummy Mwalimu pia kueleza nini kinafanyika kwa sasa wizara zenu kwenye public vinginevyo Hamtetendei haki mama Samia anaonekana hana alifanyalo
 
Back
Top Bottom