Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Sasa hivi ni mwendo wa barabara kiwango cha changarawe huko vijijini. Hizi za lami pia zipo ila kasi kusema ukweli imepungua. SGR pia naona inaendelea kwa mwendo wa kinyonga lakini mafundi wapo kazini huko Moro.

Daraja la Mwanza/busisi pia kazi inaendelea. Bwawa la maji sina taarifa zozote. Kiujumla kazi inaendelea ila kwa mwendo wa pole kiasi kwamba JIWE angekuwepo kuna miradi ingekuwa imeisha.
 
He
Labda jamaa alitaka waache kujenga zilizokuwepo waanze nyingine! Hizi zilizobaki mbona ni mzigo tosha! Nimesikia wanataka kuendeleza Kimara -kibaha highway ifike hadi Chalinze.
Dah kwa iyo mkopo unatafutwa . Si deni la taifa litafika trillion 150
 
Anyway, hili ni jukwaa letu sote na wenye uelewa wa viwango vyovyote 🙏
 
Awamu ya sita imejaa wahuni na machawa tu kama akina Mwijaku. Huyu mama anapendwa na machawa tu wanaokula kwa urefu wa kamba mitaani hapendeki kabisa.
 
Kuna r
Kazi za ujenzi anafanya sana tu ila kurugenzi ya mawasaliano ya Shaban Kisu ilikuwa hopeless

Kukaa kimya kutosema kilichofanyika watu wanadhani labda hakuna kinachoendelea na yeye Mama Samia kujieleza mafanikio yake au anachofanya midomo mizito tofauti na Magufuli..,
kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na
mbayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.

Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.

Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??

Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
Unataka kwenda kuiba simenti?
 
Kuna Barbara za mkoa wa Kigoma zinajengwa hivi sasa. Kibingo-Nduta, Kibingo-Kibondo-Nduta, Nduta- Mvugwe na Mvugwe Kanyani. Watu wako kazini na kazi inaonekana kufanyika.

IMG_20220102_120425_192.jpg
 
Huyu mama siyo mwizi shida usimamizi tu ni changamoto kwake ndiyo maana wahuni wanaokula kulingana na urefu wa kamba yao hawawezi kusema hafanyi kitu hata siku moja
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara...
Mbweni Malindi kwenda Mbweni Mpiji kazi imeanza hivi karibuni.
 
Kuna r

kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.
Sidhani Hata JK alikuwa na tatizo hilo hilo la Samia anafanya mengi halafu hasemi wala mawaziri hawasemi ndio maana alikuwa anaonekana kama dhaifu asiyefanya kitu

Kodi za watu kutumia piga yowe presss kuwa angalia kile kinafanyika

Nina Imani na Zuhura Yunus ata coirdinate hilo zoezi kila mwezi mawaziri wote wapeleke briefing ya nini kinafanyika positive wizara zao wampe raisi atumie kuhutubia hotuba ya kila mwezi as a monthly progress report kuongea na watanzania ukimya sio mzuri
 
Barabara ya kuelekea Kibosho Umbwe, Moshi inaendelea kujengwa kuanzia Njia ya Manushi na sasa imefika Kwa Editha.

Barabara ya Kimara- Kibaha inaendelea kujengwa ambapo sasa hivi mkandarasi anamalizia njia ya Mwendo Kasi ikiwemo kuweka mataa na kingo.

Barabara ya kutoka Urafiki, DSM kuelekea Mabibo inaendelea kujengwa.

Kuna ile ya kutoka Survey kwenda Goba kupitia Makongo ipo kwenye ujenzi.

Barabara ya Kilwa BRT inajengwa kwa kasi ya ajabu.

Bado Stendi Kuu ya Mabasi na daladala pale Mkuranga itaanza kujengwa hivi karibuni
 
Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na
mbayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.

Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.

Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??

Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
Misukule ya Mbowe na Mwendazake mna matatizo sio kidogo..

Miradi ni countless,pitia tovuti za wizara husika na fuatilia accounts za mitandao ya kijamii za viongozi wa Wizara ..

Some of hiyo miradi ni kama ifiatavyo 👇

Screenshot_20220128-082942.png


Screenshot_20220128-082957.png


Screenshot_20220122-163321.png


Screenshot_20220118-132103.png


Screenshot_20220113-153235.png


IMG_20211226_124802_483.jpg


IMG_20211225_115210_557.jpg


IMG_20211225_115056_078.jpg


IMG_20211225_114154_471.jpg


IMG_20211225_113837_056.jpg


IMG_20211225_112819_383.jpg


IMG_20211225_112616_827.jpg


IMG_20211225_112603_239.jpg


IMG_20211225_112449_065.jpg


IMG_20211225_112132_382.jpg


IMG_20211225_112040_456.jpg


IMG_20211225_111856_267.jpg


IMG_20211225_111733_169.jpg
 
Back
Top Bottom